Mo apata changamoto, Bakhresa atoa dau bilioni 25 kuinunua Simba SC

Mo apata changamoto, Bakhresa atoa dau bilioni 25 kuinunua Simba SC

Status
Not open for further replies.

Abbasfarudume

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2017
Posts
1,625
Reaction score
1,326
Tajiri kijana barani Afrika, Mo dewji amepata changamoto kwa mfanyabiashara mwenzake. Katika ununuzi wa hisa za club ya Simba Bw, Said Salim Bakhresa, ameweka dau la shillings za kitanzania Billion 25 huku Bw, Mo akidhani yupo peke yake.

Kwenye huo mchakato wa kuinunua Simba, vigezo vya kuinunua timu ya simba uwe mwanachama hai wa Club, sasa Bw, Bakhresa vigezo vyote anavyo Simba inauza asilimia 50 ya hisa kwa wadau wake, wakati huo huo wanachama wanaona bora timu akabidhiwe Bw, Mo kwa kigezo alishatoa pesa zake, karibu billion moja.

Kwa ajili ya kuisaidia timu. Wakati huo Bakhresa alikuwa wapi wanachama Wakihoji, na wengine wakimtaka Bw, Mo aongeze mpunga kumzidi Bakhresa. Msimamizi wa mchakato huo Jaji mihaya anasema mchakato bado unaendelea.

PIA, SOMA=> Mo Dewji kumiliki 51% ya hisa za klabu ya Simba baada ya kuwa muwekezaji pekee aliejitokeza
 
Kwenye suala la tenda zikishawakilishwa anachukuliwa aliyetoa ya juu kwenye kuuza na kununua anachukuliwa aliyetoa ya chini, hakuna vya kuongeza dau labda mchakato wa awali ufutwe.
 
Kwenye suala la tenda zikishawakilishwa anachukuliwa aliyetoa ya juu kwenye kuuza na kununua anachukuliwa aliyetoa ya chini, hakuna vya kuongeza dau labda mchakato wa awali ufutwe.
Lkn Simba walitangaza wadau wake, wajitokeze kwenye mnada wa hisa mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom