Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Litakuwa Kolo hilo kumbe mkenge walioingia Kwa Kibu Denis hata Yanga ilishaingia mkenge Kwa Ditram Nchimbi, hawa ni wachezaji wa kurukaruka tu ndani bila kuleta matokeo mbaya zaidi Taifa stars ndio inategemea wachezaji wa category hiyo, tumekwama.Na uzuri na mimi nimezungumzia wanamichezo ambao jamii ilikuwa na matarajio makubwa kwao, na baadaye kushindwa kufikia hayo matarajio!
Hasheem Thabit na huyo dogo ni mifano halisi. Wala sina shida binafsi na yeye. Nimewalinganisha tu.
Sasa unaandika kitu kama huna kichwa, uswahilini wapi au shule IPI ilikuwa na viwanja vya basketball?Tulikua na dogo patrick nyembela hapo bongo kapigana sana na kikapu cha bongo nafkiri hata hashim thabit kapita kwake na madogo wengi wa kishua wenye ndoto hizo wamepita kwake pale viwanjani tanesco ila hamna aliyetoboa zaidi ya hashim.
Nasemaje watoto wa kishua ndio walikua na mawazo ya kucheza basket,uswazi kwetu daladala camp gereji mchangani ni chandimu na kuwaza kuiba maandazi badae wapige chabo wapi na kupora ndio kipaji akitoboa anakua mpiga debe
Hasheem 35, is a Tanzanian professional basketball player for the Sichuan Blue Whales of the Chinese Basketball Association (CBA). He played college basketball for UConn before being drafted second overall in the 2009 NBA draft by the Memphis Grizzlies. His performance as a second overall draft pick has led many analysts to label him as one of the "biggest busts" in NBA history.[2][3]
Baada ya kijana wetu hashimu Sabiti kuamua kutembeza tango pori badala ya kucheza kikapu kaibuka mwamba huyo Mobamba toka Ivory Coast.
Orlando Magic to Lakers,
Kijana wenu alionekana mitaani juzi kati akiuza sura.
Sijui hata yuko wapi
Chakula babu,wewe kila siku unakula dagaa na ugali unategemea nini zaidi ya kudumaaNBA kuna mijitu mpaka unabaki mdomo wazi hizi mbegu ni za Dunia hii ama?
Tena ya wakatoliki 😂😂😂 labda apakodi kwa masaa.Don Bosco?
Unajua ni ya nani? mimi nimekulia utoto wangu kwenda hapo mpaka namaliza sekondari,
Haiwezekani akafungue shule humo, ile youth centre kwa ajii ya vijana sio sehemu ya biashara
Hekeem Olajuwan ni Mnigeria sio Mghana!Sio wapowapo Wacongo ni moja kati ya waafrica waliofanya poa NBA tangu enzi hizo za kina Dikembe Mutombo mzee wa Big Ballin na kina D Ilunga Mbenga na wengine kibao,kwa hapa Africa Hakeem Olajuwon wa Ghana ndio the greatest wetu ana rekodi nzuri sana NBA
😅😅😅🤣 jibu muafaka kabisaChakula babu,wewe kila siku unakula dagaa na ugali unategemea nini zaidi ya kudumaa
Kwani yule mliembeba pale airport kama wafalme wa zamani alifanya ajabu gani?Umesoma kichwa cha habari? Kwani kumtaja ni dhambi? Nimefanya ufanano tu wa hao watu wawili! Hivyo huna sababu ya kupandwa na munkari.
Katolea mfano tu 😅😅😅😅Kwa nini umtaje Kibu Denis?
Dennis rodman rafiki wa rais wa north Korea,miyeyusho sanaMwamba mwingine huyu NBA.
Sijui alikumbwa na nini Maskini View attachment 2513320View attachment 2513321View attachment 2513322View attachment 2513323
Kwenye FIBA rankings kwa sasa namba moja ni Tunisia,hizo nilizozitaja nazo zinfanya vizuri South sudan wapo nafasi ya nane,Dr Congo 11,Nigeria ya saba na hizo ulizozitaja zipo kwenye list ya kumi bora...Nigeria, Senegal na Angola ndio timu bora za muda wote za kikapu kwa Afrika...
Ndio mambo ya kuja kukatana mitama na kina Tid.Kwa ule mpunga wa nba na bia zetu huku za buku buku akaona amemaliza na kweli amemaliza maana kibongo bongo naona yuko vizuri
Hata serikali nayo haikuweka full support ya mchezo huu,zamani ligi ilikuwa ni ya Dar es salaam tu kabla ya kuja ligi ya taifa ya Basketball na kupata wadhamini kidogo ndio angalau serikali ikaanza kuengage,zamani ilikuwa tunaenda Upanga au Oysterbay kucheck ligi ya mkoa kulikuwa na vijana wanafanya vizuri sana kama Kina Byum El samieh,akina Gabby lubby na wengineo kutoka timu za Vijana,Pazi n.k lakini cha ajabu umri umeshaenda kwa sasa wamebaki wanashangaana tu Dar na wakati walikuwa na vipaji vikubwa sana vya B ball,angalau B ball kitaa ilitegemewa kuwatoa madogo nayo expectations yake haikuwa real badi tupotupo tu km taifaTatizo basketball ya bongo ilikuwa ni aidha walikuwa mabishoo wengi warefu lakini hamna kikapu ndio wanacheza, au wale wako serious tatizo walikuwa wafupi, Bahati, Evarist,
Pazi na Vijana wameshakufa siku hizi, na pia wao hawajawahi kushinda chochote nje, wala wakiwa timu ya taifa.
Urafiki wa ki jumalokole, mwanaume mzima unaitwa unaambiwa na mwanaume mwenzio kaa hapo kula bata mi nakupenda tu ntalipa unaona mserereko kumbe uterezi utahusikaDennis rodman rafiki wa rais wa north Korea,miyeyusho sana
Na ndio maana hata viwanja bongo vilikuwa ushuhani Upanga Don Bosco,Oysterbay na kwingineko suala la kukuta kiwanja Tandale kwa tumbo ilikuwa ni maajabu sana.Tulikua na dogo patrick nyembela hapo bongo kapigana sana na kikapu cha bongo nafkiri hata hashim thabit kapita kwake na madogo wengi wa kishua wenye ndoto hizo wamepita kwake pale viwanjani tanesco ila hamna aliyetoboa zaidi ya hashim.
Nasemaje watoto wa kishua ndio walikua na mawazo ya kucheza basket,uswazi kwetu daladala camp gereji mchangani ni chandimu na kuwaza kuiba maandazi badae wapige chabo wapi na kupora ndio kipaji akitoboa anakua mpiga debe
Mkuu huyo jamaa mie nikikutana Naye Chocho namlima makofi maana SI Kwa ujinga uleSio mpumbavu tu hana akili ya mpira
true.Chakula babu,wewe kila siku unakula dagaa na ugali unategemea nini zaidi ya kudumaa
Nadhani alikua mrefuuu kuliko wote tangu NBA ianzishweMutombo Dikembe ilikua habari ingine ?kuna yule Msudan pia aliwai kuvuma sana NBA
Manute bol, yao ming, Shawn badley unawajua hao watu?? Dikembe akasomeNadhani alikua mrefuuu kuliko wote tangu NBA ianzishwe