Mo Boxing: Ibrahim Class ashinda kwa KO dhidi ya Bondia wa Mexico

Mo Boxing: Ibrahim Class ashinda kwa KO dhidi ya Bondia wa Mexico

hao wengine walioshinda
wamepewa bonus gani ?
Ingekiwa busara hiyo zawadi ya bajaj wewe umeiita bonus isingetangazwa hadharani angepewa kimya kimya
Watanzania wengi low IQ,yaani ile critical capacity wengi hawana!kila bondia kabla ya kupanda jukwaani lazima alikuwa na mkataba wake kulingana na ubora wake, suala la bonus ya Bajaj hio ilikuwa ni strategies ya kibiashara ndio maana imetolewa kama surprise, mwishoni mwa game ili Bajaj wapate attention na mailage,kitu ambacho wamefaulu.

maana baada ya pambano kila mtu anaongelea Bajaj! Mama Samia anasema wabongo wengi wamekulia na utapiamlo ndio maana hata vitu vidogo kama hivi wanashindwa kuelewa.
 
Waamuzi wa ndondi Tanzania, wanakuwa nao ni sehemu ya ushabiķi, hivi mtu amepigwa mgumi anaonekana kabisa anaweweseka unaacha kuingilia kati hadi anapigwa ngumi nyingine wakati hajiwezi? Halafu unakuta ndio anasifiwa eti refa wa kimataifa. Kiwepo kipindi cha kuchambua maamuzi ya marefa wa ndondi kama kipyenga cha mwisho kwenye soka. Starehe yetu sio mtu kupigwa kimagumashi bali tunataka sheria zifuatwe anayeshinda ashinde anayeshindwa ashindwe
Yule dogo ibra Ni mpuuzi Sana yeye akifanyiwa hvyo atapenda

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Pale alikuwa anatafuta clean knockout wamekiko na roho zao za paka angeweza simama tena yule, ukipata chance fanya clinical finishing namna Ile..!
 
Watanzania wengi low IQ,yaani ile critical capacity wengi hawana!kila bondia kabla ya kupanda jukwaani lazima alikuwa na mkataba wake kulingana na ubora wake, suala la bonus ya Bajaj hio ilikuwa ni strategies ya kibiashara ndio maana imetolewa kama surprise, mwishoni mwa game ili Bajaj wapate attention na mailage,kitu ambacho wamefaulu.

maana baada ya pambano kila mtu anaongelea Bajaj! Mama Samia anasema wabongo wengi wamekulia na utapiamlo ndio maana hata vitu vidogo kama hivi wanashindwa kuelewa.
Wabongo kazini,hamnaga jema[emoji23][emoji23]
Akipigwa mgeni KAONEWA
akipigwa mwenyeji HATUJUI

SHUBAMIT[emoji16]
 
Yule dogo ibra Ni mpuuzi Sana yeye akifanyiwa hvyo atapenda

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kanapenda sifa,na ni upuuzi na ushamba, kitendo cha kuninginiza mikono chini ni ishara ya ku surrender , halafu kanakwenda kumsukumia ngumi mtu ambaye amekubali na yupo kwenye uelekeo wa kuanguka?
 
Back
Top Bottom