Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
51% timu ni yao..huyo alokuja kununua zilizobaki aweke pesa kwa mujibu wa makubaliano51% wameweka kiasi gani mpaka sasa?
Masirahi yapi zaidi ya matokeo? Au una dingi anataka kuweka hisa zake paleWana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.
Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".
Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
Wana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.
Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".
Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
Mlifanya kazi gani mkapata hizo 20bil? Na Ilifikaje fikaje mikononi mwa Kanjibah? Na kimewasibu nini mpaka mmebadili mawazo kutaka zirudi kwenu tena? Na akishazirudisha zitakaa Kwa nani? Na matumizi yake atayaidhinisha nani?
Nalipia kadi ya uanachamaCha kushangaza hata jezi hujawahi kununua, badili neno wanachama Weka mwanachama, tuachie timu yetu
Mimi ni lunyasi wa kutupwa ila sitaki kua mbumbumbuWewe mtopolo hata kununua jezi ya timu yako unashindwa
Mnaogopa wahindi? Upo radhi kuzuga ili tusiseme ukweli kuhusu Mo? Ngozi nyeusi bwanaYaani Ghalib ameshainunua Utopolo? Poleni sana kima wa pori la Utopolo
Nna kadi namba 277 sitaki kua bendera fata upepoHatukutaki utopolo mkubwa wewe
Aliyasema Rage... nyie mbumbumbu wa matusi ndio mnaifikisha hapa timu yetu... Mo must goHakuna shabiki wa simba msenge msenge kama wewe
Kabla ya mo simba ilipata matokeo...Masirahi yapi zaidi ya matokeo? Au una dingi anataka kuweka hisa zake pale
Mimi ni mwanachama nalipia kadi kila mwaka, zile 51% ni za timu, huyu mnayemwita mwekezaji na kanunua 49% , kaweka shilingi ngapi kwenye account? Nani aliahidi hyo pesa kama sio mo mwenyewe? Hivi watanzania akili mnapeleka wapi?Nyie ndio watu mnarudi kwenu mnakuta kukuchoma na chips na wala uulizi vimetoka wapi
Kabla ujaandika upupu wako kwanza tuambie umelipa sh ngapi kuchangia Simba?
Pia tuambie kwenye zile hisa 51% umenunua ngapi?
Timu inasafiri, inasajiri, wanakaa kambini, ww uko zako newala huko unapiga kelele za 20B
Wewe ni nyani wa pori la Utopolo huna akiliMimi ni lunyasi wa kutupwa ila sitaki kua mbumbumbu
Hizo ni hisa za timu (board of trustees) kuna huyu mwekezaji amekuja kununua hisa kwa wenye timu, wenye timu wamekubali kuuza hizo 49%, sasa pesa zipo wap?Wanadai 20B za hisa 49% why wasihoji hisa 51 za wanasimba wamenunua ngapi?
Sawa wewe zeruzeru kimwaga uduguMnaogopa wahindi? Upo radhi kuzuga ili tusiseme ukweli kuhusu Mo? Ngozi nyeusi bwana
Njoo na hojaWewe ni nyani wa pori la Utopolo huna akili
Makubaliano ya nani51% timu ni yao..huyo alokuja kununua zilizobaki aweke pesa kwa mujibu wa makubaliano
Hizo ni hisa za timu (board of trustees) kuna huyu mwekezaji amekuja kununua hisa kwa wenye timu, wenye timu wamekubali kuuza hizo 49%, sasa pesa zipo wap?
Mimi ni mwanachama nalipia kadi kila mwaka, zile 51% ni za timu, huyu mnayemwita mwekezaji na kanunua 49% , kaweka shilingi ngapi kwenye account? Nani aliahidi hyo pesa kama sio mo mwenyewe? Hivi watanzania akili mnapeleka wapi?