Mo Dewj weka bilioni 20 zetu, acha janja janja

Mo Dewj weka bilioni 20 zetu, acha janja janja

Wana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.

Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".

Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
Wanaouguza maumivu ya Kmc ndio hawa. Kesho Azam wafanye yao, wawazibe vinyeo.
 
Wana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.

Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".

Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
We msengerema pesa haiwekwi na huna chochote cha kufanya,
 
Pesa za usajili zimetoka wapi? Pesa za kambi zimetoka wapi? Mishahara inatoka wapi?

Ukipata majibu ndio uje na Hilo swali lako
Timu yetu ilikua na udhamini wa sports pesa, na sasa meridian bet, ina get collections nk. Hata huyo mo anatangaza biashara zake kupitia Jersey za simba au hujui hilo? Sasa niambie ile nembo ya Mo foundation, club inapata bei gani?
 
Hao matajiri wa ukweli kwanini isiwe wewe?.Sema moo ondoka nichukue timu mimi sio kupangia ela za watu ukadhani kuendesha timu ni kitu rahisi rahisi.Ata kama moo ananufaika cha msingi sisi mashabiki tunaona timu iko vizuri.usitake kutuletea mambo yenu yakiswahili hapa kujifanya mna uchungu na timu uku hamna hata mia mbovu yakuendesha timu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Timu yetu ilikua na udhamini wa sports pesa, na sasa meridian bet, ina get collections nk. Hata huyo mo anatangaza biashara zake kupitia Jersey za simba au hujui hilo? Sasa niambie ile nembo ya Mo foundation, club inapata bei gani?

Sport pesa walikuwa wanalipa B ngapi Kwa mwezi?

Au timu gani east Africa ambayo matangazo yalio kwenye jez zao yanafika 1B?

Tunaongea Sana mambo ya hewani kuliko uhalisia ndio shida
 
Mimi ni Mwanasimba na sizitaki hizo bilioni ishirini, mimi nataka tu kuiona timu ipo na Wachezaji wapo....Mimi nikimuona Chama anatabasamu inatosha.
 
Wana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.

Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".

Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
bilioni za nini timu ipo makundi? hahahahaha wajinga ndiyo waliwao
 
Back
Top Bottom