FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,236
- 2,512
Wanaouguza maumivu ya Kmc ndio hawa. Kesho Azam wafanye yao, wawazibe vinyeo.Wana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.
Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".
Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
Ya uwekezaji ambayo yaliwekwa na wenye timuMakubaliano ya nani
We msengerema pesa haiwekwi na huna chochote cha kufanya,Wana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.
Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".
Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
Unadhani kulea timu ni kama kulea sehemu za siri kwenye bukta?Acha ujinga!Mo aondoke wanachama tutailea timu yetu
Hoja ni kunyimwa mkopo wa tukutukuNjoo na hoja
Timu yetu ilikua na udhamini wa sports pesa, na sasa meridian bet, ina get collections nk. Hata huyo mo anatangaza biashara zake kupitia Jersey za simba au hujui hilo? Sasa niambie ile nembo ya Mo foundation, club inapata bei gani?Pesa za usajili zimetoka wapi? Pesa za kambi zimetoka wapi? Mishahara inatoka wapi?
Ukipata majibu ndio uje na Hilo swali lako
Rage alisema mashabiki wengi ni mbumbumbu, ukweli hauzimwi kwa 'vijitusi uchwara ' hyo timu ni ya uma, sio baba zenu.We msengerema pesa haiwekwi na huna chochote cha kufanya,
Kabla ya Mo simba ilikuepo, na baada ya Mo simba itakuepoUnadhani kulea timu ni kama kulea sehemu za siri kwenye bukta?Acha ujinga!
Kawaulize yanga kipindi wanatembeza bakuli la changia yanga kama walikua hawana wanachama wakuilea timu.Mo aondoke wanachama tutailea timu yetu
Ya umma wakati huna uwezo wa kufanya japo robo ya anachokifanya Mo kwa simbaRage alisema mashabiki wengi ni mbumbumbu, ukweli hauzimwi kwa 'vijitusi uchwara ' hyo timu ni ya uma, sio baba zenu.
Bora ya Mo kuliko wenzangu na mimi ambao hata kwenda uwanjani kuipa nguvu ni changamoto.Kabla ya Mo simba ilikuepo, na baada ya Mo simba itakuepo
Utopolo unateseka ukiwa wapi?Rage alisema mashabiki wengi ni mbumbumbu, ukweli hauzimwi kwa 'vijitusi uchwara ' hyo timu ni ya uma, sio baba zenu.
Timu ya kijiji ni Utopwise aka Daima mambelembele,nyuma kuna mwiko kama kasia.Utopolo unateseka ukiwa wapi?
Timu yetu ilikua na udhamini wa sports pesa, na sasa meridian bet, ina get collections nk. Hata huyo mo anatangaza biashara zake kupitia Jersey za simba au hujui hilo? Sasa niambie ile nembo ya Mo foundation, club inapata bei gani?
andamaneni wewe na familia yako .Tuandamane mo aweke pesa
Nini sababu ya mo kuwepo pale kama shida haikua matokeoKabla ya mo simba ilipata matokeo...
bilioni za nini timu ipo makundi? hahahahaha wajinga ndiyo waliwaoWana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.
Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".
Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.