SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe ni juha tu kama mlivyo wanayanga wote. Sisi furaha yetu ni ushindi na mataji kama Mo ameyaleta hayo aendelee tu kwani hakuna kitu tumewekeza pale kuwa tunataka hela yetu irudi. Mbona hapo kwenu kabla ya kuja Ghalib mlikuwa mnatembeza bakuli ilhali mko mamilioni ya washabiki na wanachama tena mnajiita wananchi.Rage alisema mashabiki wengi ni mbumbumbu, ukweli hauzimwi kwa 'vijitusi uchwara ' hyo timu ni ya uma, sio baba zenu.
Mkataba wa chief Magungo wa msovero karne hii? Wewe kawako ni kushinda? Umeshunda nini msimu huu? Mpaka timu ipigike ndio mdai pesa za timu? Ina maana tunafunika ukweli kwasababu timu inashinda?Hao matajiri wa ukweli kwanini isiwe wewe?.Sema moo ondoka nichukue timu mimi sio kupangia ela za watu ukadhani kuendesha timu ni kitu rahisi rahisi.Ata kama moo ananufaika cha msingi sisi mashabiki tunaona timu iko vizuri.usitake kutuletea mambo yenu yakiswahili hapa kujifanya mna uchungu na timu uku hamna hata mia mbovu yakuendesha timu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Still yanga ipo, nyakati ngumu kwenye maisha zipo, kikubwa tunasema ukweliKawaulize yanga kipindi wanatembeza bakuli la changia yanga kama walikua hawana wanachama wakuilea timu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mimi sio muwekezaji sheikh, mimi ni mwanachama pia nalipia kadi. Mo Dewj ni muwekezaji pale simba he has rights to fulfill his obligations according to per club constitution... jamani mnajitia uchizi kwenye vitu waziYa umma wakati huna uwezo wa kufanya japo robo ya anachokifanya Mo kwa simba
Nje ya mada, nazungumza timu yetu ya simba.. wewe ni shabiki hoya hoyaWewe ni juha tu kama mlivyo wanayanga wote. Sisi furaha yetu ni ushindi na mataji kama Mo ameyaleta hayo aendelee tu kwani hakuna kitu tumewekeza pale kuwa tunataka hela yetu irudi. Mbona hapo kwenu kabla ya kuja Ghalib mlikuwa mnatembeza bakuli ilhali mko mamilioni ya washabiki na wanachama tena mnajiita wananchi.
Unataka Ziwekwe kwenye kabati au sanduku?Wana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.
Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".
Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
Nenda benki kaangalie salio kwenye akaunti kama hazipo mfuate MO mwenyewe atakupatia kama unavyozidai utafikiri zako na familia yako. Ukiambiwa ununue hata OMO moja ya kufua jezi ya Chama huna halafu unabwabwaja ka chura. Utopolo ni utopolo tu. Ukiendelea kufuatilia mambo ya Simba iliyoko makundi yule Mwarabu mweupe atakufumua tena wiki ijayo unakuwa looser of looser maana tayari wewe ni looser na unashiriki ligi ya malooser.Wana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.
Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".
Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
Wewe ni Utopolo ndiyo maana hoja zako zimekaa kiucochezi zaidi,kama ungekuwa mdau wa Simba kuna njia sahihi ya kuhoji na kupata taarifa sahihi. Wewe ingependeza zaidi ukazungumzia mambo ya Yanga mchakato umefika wapi na siyo hapa ungeuliza kwenye vikao vyenu.Nje ya mada, nazungumza timu yetu ya simba.. wewe ni shabiki hoya hoya
Mie ni simba na nna uchungu na timuWewe ni Utopolo ndiyo maana hoja zako zimekaa kiucochezi zaidi,kama ungekuwa mdau wa Simba kuna njia sahihi ya kuhoji na kupata taarifa sahihi. Wewe ingependeza zaidi ukazungumzia mambo ya Yanga mchakato umefika wapi na siyo hapa ungeuliza kwenye vikao vyenu.
Pole sana KOLOMie ni simba na nna uchungu na timu
Bado hujausikia vizuriMie ni simba na nna uchungu na timu
Hujui ofisi ya Mo ilipo ili ukamshinikizie hapo ofisini kwake?Wana Simba wenzangu, muda umefika sasa wa kumshinikiza huyu anayejiita muwekezaji ndani ya timu yetu kuweka ile pesa yote aliyohaidi.
Najua kuwa tatizo la mashabiki na wanachama ni kupumbazwa na matokeo na tunaacha mijadala ya msingi kabisa kwa masilahi ya timu yetu, haishangazi tunaitwa "Mbumbumbu".
Mo Dewj (Kanjibah) kama huna pesa ondoka kwenye timu yetu, waje matajiri wa ukweli kuwekeza.
Mwenyewe najiuliza hapa, kwenye hiyo 20b yeye alichangia sh. ngapi mpaka afai kurudishiwaKwamba bilioni 20 zenu!!!!!!.....heheheehee
Tuungane wanachama wote.Hujui ofisi ya Mo ilipo ili ukamshinikizie hapo ofisini kwake?
Mkuu Yoda habari za hapo Brooklyn USA? Ukraine amerudisha majimbo yake ya donbase?Bado hujausikia vizuri
Mo dewj aondokeAcha ujinga