Mo Dewji aipongeza Yanga...agawa bodaboda kwa kila mchezaji wa Simba na kuongeza mkataba wa kocha.

Mo Dewji aipongeza Yanga...agawa bodaboda kwa kila mchezaji wa Simba na kuongeza mkataba wa kocha.

Labda milioni 5 ni kigabacholi kwa kiswahili ndio bodaboda.

Mie ni mpenzi wa simba s.c kama kweli aliwaahidi milioni 5 basi awapasie milioni 5 zao, kwenda nje ya ahadi inavunja morali, usikute kuna watu walikuwa wameshapangia mpaka bajeti milioni 5 zao.

Unataka TRA wamkabe?
 
Hongera kwao, bodaboda moja kwa wachezaji zaidi ya Ishirini ni kiasi kikubwa sana cha fedha ukilinganisha na Faida iliyopatikana kutokana na ubingwa huo,,, pia ikumbukwe hiyo sio Mshahara ila ni Zawadi
 
simba anataka shindana na mazembe na al ahly anatoa zawadi boda boda kama bonus..
 
Watu mnadharau bodaboda...kana kwamba kuna timu bongo wachezaji wo wamewai pewa zaidi ya ivyo.
 
Katika kuwapa Motisha za Ubingwa wa Tanzania Premier league, Tajiri wa Simba Mohamedi MO amewaahidi wachezaji wote wa Simba waliochukua Ubingwa mwaka 2018-2019 kuwazawadia Bodaboda

Aisee....sasa Kagere kwa Umri ule aanze kuendesha Bodaboda si kuwaua huku????

Miss Mbeya zawadi ya Ushindi Bodaboda
Mabingwa wa TPL zawadi ya Ushindi Bodaboda

Tujadili wanaMichezo hii sawa???

Naina Kafara inatolewa hapa sio bureee[emoji23][emoji23][emoji23]
mwananchi_official-20190522-0001.jpeg
 
Bado anawakopesha kumbe,ile billion 20 baadaye atawaambia zimebaki 10
 
Aisee nimecheka sana na hapo ndio unandoto ya kuchukua ubingwa wa afrika kushindana na kina mazembe, na al alhy kwa motisha ya bodaboda!!
 
Katika kuwapa Motisha za Ubingwa wa Tanzania Premier league, Tajiri wa Simba Mohamedi MO amewaahidi wachezaji wote wa Simba waliochukua Ubingwa mwaka 2018-2019 kuwazawadia Bodaboda

Aisee....sasa Kagere kwa Umri ule aanze kuendesha Bodaboda si kuwaua huku????

Miss Mbeya zawadi ya Ushindi Bodaboda
Mabingwa wa TPL zawadi ya Ushindi Bodaboda

Tujadili wanaMichezo hii sawa???

Naina Kafara inatolewa hapa sio bureee[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1104882
Ungeweka ile picha ya gymkhana
 
Yanga walipewa zawadi gani mara ya mwisho?

Katika kuwapa Motisha za Ubingwa wa Tanzania Premier league, Tajiri wa Simba Mohamedi MO amewaahidi wachezaji wote wa Simba waliochukua Ubingwa mwaka 2018-2019 kuwazawadia Bodaboda

Aisee....sasa Kagere kwa Umri ule aanze kuendesha Bodaboda si kuwaua huku????

Miss Mbeya zawadi ya Ushindi Bodaboda
Mabingwa wa TPL zawadi ya Ushindi Bodaboda

Tujadili wanaMichezo hii sawa???

Naina Kafara inatolewa hapa sio bureee[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1104882
 
Huu uzi lazima aliyeuanzisha lazima ni gongowazi...mnateseka sana!
 
Hata kama angewazawadia pipi si ni zawadi, ama kuzawadia boda boda inatoa ishara kuwa ni lazima waziendeshe.

#acha mawazo mgando!
 
Mi sio ubaya, maana mchezaji analipwa mshahara kila mwezi kwa kazi ya uchezaji..ukizingatia hapo awali alikwisha toa bonus nafikiri kufuzu Club bingwa afrika ,kufika robo fainali so swala la boxer ni zaidi na hakuna sehemu inasema ni lazima team ikichukua kikombe wachezaji wapewe motisha..tena kwa ligi ya kibongo mshindi zawadi haijulikani na ata haizidi milioni 90
 
A
m5 itamkata maana hela nyingi zimetumika kutafuta ubingwa ambao zawad yake haifiki hata robo.
Atawapaje M-5 wakati katumia mkwanja mrefu kuutetea ubingwa? Na ndiyo maana kawapongeza Yanga sc, maana bila mihamara ubingwa ulikuwa unarejea kwa wenyewe. Nimempenda sana huyu Moo si mnafiki.
 
Vitu vingine hadi nimeona aibu mimi kwa mtu mkubwa kama mo
"bodaboda kweli waongeze vipato vyao"
Endeleeni kudharau 25k per day nyie ,tayar mmeshawaona wachezaji wetu akina messi wanahitaji ma lambo na ferra eh?
 
Back
Top Bottom