Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Ambae hana cha kihenge cha kutunzia mahindi ya msaada wala ndoo ya kutunzia unga wa msaada. Itabidi jirani aanze kwanza kuomba msaada wa bakuli la kutembeza kabla ya kufikirikia kutembeza bakuli lenyewe.