Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,889
Chama kazingua si angempigia simu akamsifia kwani lazima aende insta live harafu kumsifia adui wa bosi wako ni ungesee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna mgogoro Simba ila unaweza kutokea kama mambo madogomadogo yatakuzwaJe, mchezaji ni sawa kuongelea mgogoro unaoendelea wa club yake?
Tuanzie hapa kwanza!
hakuna mgogoro Simba ila unaweza kutokea kama mambo madogomadogo yatakuzwa
Ugenini anaenda kuisemea nini klabu?Sasa msemaji wa club kwanini halipiwi ndege na hotel hadi inabidi alale kwenye makochi ya reception?
Hizi ndiyo akili za pisi ya gabachoriUgenini anaenda kuisemea nini klabu?