babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Huo uwanja umekaa zaidi ya miaka 30 haujawai kukamilika Mo alitia hela juzi nimepita hapo umekamilika hata kama hajaleta nyasi mbwiga wewe.Acha urongo Mo hajajenga Namfua zaidi zaidi alitudanganya atatuletea nyasi bandia na hakuleta