Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Ni Vile tu Mo ni mswahili na hana professionalism.. Hivi wewe kweli kama ni mtu tena Billionaire unayejielewa unaweza kwenda bishana kujibu kila aina cha Critics zinazopatikana mtandaon utajib ngp na uache ipi?Anachopitia MO kila mtu anaweza pitia.....
Ufanye jambo, uwabebe watu mgongoni afu kitokee kiumbe kibeze uliyoyafanya, utukanwe mitandaoni. Alafu ukija kuangalia mpaka wale unaowalipa mshahara nao wapo upande wa anayekubeza kwa namna moja au nyingine......inauma sana.
Walio karibu na MO wamshauri akae pembeni na mitandao ya kijamii kwasasa, atakayoyaona yatamchoma sana.
Anatakiwa kujua kuAct kama mtu mwny akil timamu na uelewa zaid ya mambo aya sio kujib jibu tu kama Muongoza Vikundi wa Vijora au Khanga moja kua unatoa maneno had unatak kosana na mchezaj wako bora kisa Haji kasema kiti fulan.
Na hii lbd kama ni mpuuz tu hajui inamuaribia sana na inamfanya Haji aonekana anachosema lbd kina ukwl maana kama hakina ukwl kwnn unapanic kuja na vijembe..yan ye hajui kua Anafny Haji anaWin hii battle na ipo sik aya mambo yata backfire zaid ya hapa we muache ajitoe ufahamu wabongo ni watu wengne kbs.