Mo Dewji akerwa na Clatous Chama baada ya kumsifia Haji Manara Instagram Live

Mo Dewji akerwa na Clatous Chama baada ya kumsifia Haji Manara Instagram Live

Uskute Mo anadanganyika na zile nyomi za Simba

Pale kuna mashabiki upepo tu wengine walivutwa na shombo za manara kwa Yanga

Sasa sikilizia soon ndio mtaelewa Yanga ni ya wananchi[emoji1787]
 
Mimi nimeona Inst boss.Chama ana uhuru wa kuwasiliana na mtu yeyoye na kusema lolote analojisikia (freedom of Speech)ilimrad asivunje tu sheria za nchi.
Ni ujinga kwa mchezaji wakati huu wa mgogoro kujionesha upo upande fulani.
Yaani unamsapoti Kiongozi flani ktk mgogoro.
Hasa ambaye hakulipi chochote.

La vunja mkataba umfuate huko alipo ukanywe naye chai.

Chama kazingua sana.
 
Ni ujinga kwa mchezaji wakati huu wa mgogoro kujionesha upo upande fulani.
Yaani unamsapoti Kiongozi flani ktk mgogoro.
Hasa ambaye hakulipi chochote.

La vunja mkataba umfuate huko alipo ukanywe naye chai.

Chama kazingua sana.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Boss kachokwaa sema wanashindwaa kumwambia na Ukiona chama kafanya vile jua ameshajipanga kuwa likitokea lolote jambo anapo pakuegemea...!!
 
Mi binafsi sijasikia chama alichosema ila kama kweli aliamua kumsifia Manara hadharani inaonesha ni jinsi gani moyo wake haupo sawa na uongozi.
Hii ni dalili mbaya sana na ninaanza kuhisi huenda ni mmoja wa wachezaji aliyetumika na Manara kuihujumu Simba.

Mambo haya yanaanza kidogo kidogo lakini master planner wa hii inaonekana amejipanga kuibomoa Simba kweli.
Bahati mbaya naona haitakuwa kazi ngumu kutokana na Mo mwenyewe kukosa hekma na uvumilivu.

Hapa naona Bakhresa ama GSM wanaanza kufanikiwa michezo yao.Mo ataondoka sio muda mrefu.
Tunaanza na kupoteza ngao ya hisani.Yajayo yanatia shaka mno.Chama hawezi kuwa sawa tena baada ya ujinga aliofanya leo.Naanza kuona mgomo baridi kwa wachezaji wanaomuunga mkono Chama ambaye anataka kujipambanua kama timu Haji.
Simba inavunjika kwa ubinafsi mkubwa na tamaa za Manara,kukosa hekma kwa mwekezaji wa Simba,na fitna zilizoenda shule zinazoandaliwa na washindani wa Mohammed enterprises. Kumbe pesa sio kila kitu
Ulichoandika hapa kama ndo umemaliza akili yote basi wewe ni zaidi ya Mpuuzi.
 
Anachopitia MO kila mtu anaweza pitia.....
Ufanye jambo, uwabebe watu mgongoni afu kitokee kiumbe kibeze uliyoyafanya, utukanwe mitandaoni. Alafu ukija kuangalia mpaka wale unaowalipa mshahara nao wapo upande wa anayekubeza kwa namna moja au nyingine......inauma sana.
Walio karibu na MO wamshauri akae pembeni na mitandao ya kijamii kwasasa, atakayoyaona yatamchoma sana.
Sisi team roho mbaya ngoja tuendelee kumchochea Mo mpaka akimbie mwenyewe
 
No ni aina dukani ya watu wanaopenda umaarufu sana,bahati mbaya umaarufu haujawahi kumtaka.Hana kabisa personality kama walionayo matajiri wengine hapa Tz na huko duniani,nafikiri ni kwasababu hajahangaika kuzitafuta ndomaana hafanani kitabia na self-made billionaires.


Sasa kulikuwa na haja gani ya boss wa club kwenda kucomment shombo kama zile kwenye live ya CHAMA? Aiseeeh😂
Acha porojo hujui kitu
 
Mo ndio maana alivishwa khanga. Huyu jamaa ni mpuuzi sana, mimi sifuatilii mambo ya mpira so hii issue yao sikuwa naichangia sana lakini kwa comment hii aliyoitoa ni bora Haji ana akili kuliko Mo
Sasa hapo mbona kama anaingilia uhuru wa wachezaji na anataka kujifanya yeye ndio kila kitu hadi kwenye maisha ya watu
Kama hufuatilii mambo ya Mpira kaa kimya
 
Huoni kuwa wewe ndio Mpuuzi

manara katumwa kuihujumu timu , kama chama anampenda haji basi aende akalipwe mshahara na haji
Awe katumwa au amejituma sijaongelea hilo. Naongelea lugha ya kishenzi ya mtu kujifanya mtukanaji anawaita wenye mawazo tofauti na yake Machoko.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Boss kachokwaa sema wanashindwaa kumwambia na Ukiona chama kafanya vile jua ameshajipanga kuwa likitokea lolote jambo anapo pakuegemea...!!
Unamchokaje anayekulipa
Mshahara ?
Labda useme umeuchoka
mshahara.
Na umejipanga kwenda kucheza Yanga.
 
Hukuwa live so hujui chama alikuwa anazungumzia nini, ni mazungumzo hayo.....hakuna privacy iliyoingiliwa hapo.
Huoni comment za hao wengine......
Huoni kuna He never apologised......hii namaamisha nini chama alisema manara asamehewe.....au kitu cha kuendana na hichi.
Nani analipa signing fee....haji? Possibly chama alisema kwamba manara ana umuhimu mkubwa.
Am out of this conference.......means mtu anaaga kwa amani baada ya kuenjoy na wenzake kungekuwa na utata asingeaga kabisa.
Yaani wewe ni Ng'ombe kabisa. Kichwani huna kitu
 
Back
Top Bottom