Mo Dewji akerwa na Clatous Chama baada ya kumsifia Haji Manara Instagram Live

Mo Dewji akerwa na Clatous Chama baada ya kumsifia Haji Manara Instagram Live

Basi kaongoze wewe ambaye hauko kwenye dustbin
No, sijaamaanisha kuwa Mimi ni bora kuliko wao, wala sikukusidia kumshusha mtu adabu na hadhi yake. Lakini ....... watu ni wenye makosa ya wazi. Unajua unapokuwa Kiongozi unatakiwa kuwa perfect Sana, kusiwe kuna kasoro zinazoonekana hata na macho, sidhani kama tunaelewana ila [emoji120].we are together
 
Aliulizwa kwanini unadhani Simba ina mashabiki wengi zaidi ya Yanga?
Magori: Nilipanda taxi siku moja nikamuuliza dereva wewe ni shabiki wa timu gani? Akasema Simba, basi nikajua kweli tuna mashabiki wengi.
[emoji16][emoji16]
 
Daah mtanzania sijui anataka Nini😂😂😂😂 ukikosea tu kidogo imeisha hiyoo, la ukitaka kuwajua watanzania vizuri soma comment zote yaani Sina hamu hata kidogo naishia kucheka tu

Mshana Jr Bujibuji njooni huku muone moamedi alivyowazingua mashabiki
Manara ni maarufu Sana, kuliko Mo. Mo ni ndama kabisa
 
Tukubaliane kwa kauli ya MWAMEDI anaendeleza tabia za CCM kuminya uhuru wa kuongea.
 
Chama nae kashamu-unfollow boss huko
 
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji "Mo Dewji' leo Ijumaa 06 Agosti 2021, alionekana kukerwa na kitendo cha mchezaji nyota wa Simba Clatous Chama kumsifia aliyekuwa msemaji wa klabu ya Simba ndugu Haji Manara katika instagram live aliyokuwa akiifanya na mashabiki wake.

Mo Dewji alivamia instagram live feed ya Chama na kumuuliza ni nani aliyelipia hela ya usajili wako ni Haji aliyelipia ? na kuondoka mara moja. Kitendo hicho kimeonekana kuwakera baadhi ya mashabiki wa Simba.
View attachment 1883140View attachment 1883141View attachment 1883142View attachment 1883143


=====

Updates baada ya yaliyotokea, Chama ameamua kuacha kumfollow Mo Dewji katika mtandao wa InstagramView attachment 1883315

kuhusu kumunfollow siyo kweli
 
Ninachojua mimi mafanikio ya mpira mimi mpira sio pesa tu, saikolojia na mapenzi ya wachezaji pamoja na watu wanaozijua weakness ya team zetu hizi (fitina) ni msingi mkubwa sana wa mpira wa kiafrika.

Sasa boss unaelipa mishara wachezaji,mtu anaetakiwa kuheshimiwa anawezaje kuingilia hivyo uhuru wa wachezaji katika maisha yao ya nje ya kazi? Tena kwenye insta live kabisa sehemu ambayo kila mtu anaweza kuona na anauliza maswala ya kijinga kabisa eti who paid for you transfer, unategemea wachezaji watajenga mentality gani?

Tabia za kiswahili ni kutaka kila mtu akosane na aliokosana nao yeye.
Kuna watu wanadhani pesa peke yake zinaleta ufanisi kwenye mchezo wa soka.
Mafanikio ya mchezo wa Soka ni muunganiko wa mambo mengi.

Mo anatakiwa ajifunze kuishi na watu asiowapenda ambao wana msaada furani kwenye maendeleo ya Simba.

Ni kweli kwamba Simba ni taasisi iliyo zaidi ya Manara na watu wengine, Lakini dhahiri Haji alikuwa na mchango wake kwenye kuiunganisha timu na mashabiki.
Baadhi ya Mashabiki hasa wale waliovutiwa na amsha amsha zake wanaona kuna kitu wamekipoteza ndani Simba.
 
Wanasimba mna kazi ya kumbembeleza mwamedi. Maana bila kubebelezwa hua hatulii
 
Kuna watu wanadhani pesa peke yake zinaleta ufanisi kwenye mchezo wa soka.
Mafanikio ya mchezo wa Soka ni muunganiko wa mambo mengi.

Mo anatakiwa ajifunze kuishi na watu asiowapenda ambao wana msaada furani kwenye maendeleo ya Simba.

Ni kweli kwamba Simba ni taasisi iliyo zaidi ya Manara na watu wengine, Lakini dhahiri Haji alikuwa na mchango wake kwenye kuiunganisha timu na mashabiki.
Baadhi ya Mashabiki hasa wale waliovutiwa na amsha amsha zake wanaona kuna kitu wamekipoteza ndani Simba.
Na katika hili sakata asipokuwa makini arakuja kupigwa KO moja tu mpaka akimbilie kutishia kuacha team kama kawaida yake, kwasasa anatakiwa ajue kabisa kuwa licha ya yeye kuachana na Manara haimaanishi kuwa Manara hana watu ndani ya SIMBA SC, na ajue kabisa katika hili manara hajasimama pekeyake.

Kikubwa zaidi akumbuke kuwa Hawa mashabiki wanaojidai kumoenda sasahivi na kumchukia Manara,amewaroga kwa mafanikio kidogo yaliyopatikana ndani ya hii misimu minne, SIMBA SC ikianza kufanya vibaya ndo atawaelewa rasimi.Chukulia mfano YANGA akampiku simba Sc hata kwa misimu miwili tu,alafu ujijibu mwenyewe.
 
Chama kazingua huwez kumsifia mtu aliyefukuzwa kwenye taasisi uliyopo. Kazingua aisee sio kidogo. Alitakiwa mambo za manara aziskip na kuhojiwa hojiwa hata insta live wasiingie aisee
Adui yako hawezi kuwa adui yao yeye kumsifia manara ni jambo lake binafsi ila kuimanisha akili yako kuwa ni msiliti ni akili yako tu
 
Mwamedi abembelezwe maana anataka yeye kugombana na manara kila mtu agombane nae
 
Mo ndio maana alivishwa khanga. Huyu jamaa ni mpuuzi sana, mimi sifuatilii mambo ya mpira so hii issue yao sikuwa naichangia sana lakini kwa comment hii aliyoitoa ni bora Haji ana akili kuliko Mo
Sasa hapo mbona kama anaingilia uhuru wa wachezaji na anataka kujifanya yeye ndio kila kitu hadi kwenye maisha ya watu
Kama ana ujasiri wa kuingilia privacy ya mchezaji waziwazi vp huko ndani si ndo anawafokea kama watoto?
 
Back
Top Bottom