Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea pointi tupu!Hakuna kitu kama icho iyo ni editing tu,ni watu wamejipanga kuichafua Simba kwenye mitandao ya kijamii!! Hizi kampeni hazijaanza leo,toka msimu huu wa ligi ulioisha kampuni moja iliyobadili jina ili kukwepa kodi,ambayo ina uhusiano na timu moja ya ligi kuu,ambayo iliwahi kuwa na kocha mzungu ambae aliwafananisha viongozi wa timu iyo na mashabiki wao kuwa wanatabia kama za nyani na muda wote wanabweka kama umbwa.
Mwenye iyo kampuni alianzisha kampeni kwenye radio zote za FM kwa kugawa pesa kwa waandishi ili waiongelee vibaya Simba kila siku na kuiandika vibaya kwenye vi-blog vyao uchwala,lakini mbinu zote tulizigundua na kuzipuuza.
Pia amekuwa akiwatumia baadhi ya watu wa Simba akiwemo manara kwa kuwapa pesa ili kuivuruga Simba,mbinu zote zinajulikana lakini Simba tupo imara tumejipanga vizuri kuchukua ubingwa kwa mara ya tano mfululizo.
Mwamedi leo hawezi kumkaza,sio kwa moto huu unaomuandama!Babra kama umepaniki hivi😂😂
Wewe kenge acha ujinga,muda wote ni kuandika habari hasi za Simba!! Acha uchoko,watu wanaopandwa na kupumuliwa kwa nyuma ndio wanatabia kama zako,kuandika habari za kuponda wanaume hapa JF .Na hawa ni aina ya washabiki wasiojielewa. What a coincidence!
Mbuzi kang'ata reli huko! Teh tehWewe kenge acha ujinga,muda wote ni kuandika habari hasi za Simba!! Acha uchoko,watu wanaopandwa na kupumuliwa kwa nyuma ndio wanatabia kama zako,kuandika habari za kuponda wanaume hapa JF .
30+ na ni mkazi wa palee mitunduruni Singida alipozaliwa.Kwani MWAMEDI ana umri wa miaka mingapi?
1.Salim Abdallah (Try Again)Mi binafsi sijasikia chama alichosema ila kama kweli aliamua kumsifia Manara hadharani inaonesha ni jinsi gani moyo wake haupo sawa na uongozi.
Hii ni dalili mbaya sana na ninaanza kuhisi huenda ni mmoja wa wachezaji aliyetumika na Manara kuihujumu Simba.
Mambo haya yanaanza kidogo kidogo lakini master planner wa hii inaonekana amejipanga kuibomoa Simba kweli.
Bahati mbaya naona haitakuwa kazi ngumu kutokana na Mo mwenyewe kukosa hekma na uvumilivu.
Hapa naona Bakhresa ama GSM wanaanza kufanikiwa michezo yao.Mo ataondoka sio muda mrefu.
Tunaanza na kupoteza ngao ya hisani.Yajayo yanatia shaka mno.Chama hawezi kuwa sawa tena baada ya ujinga aliofanya leo.Naanza kuona mgomo baridi kwa wachezaji wanaomuunga mkono Chama ambaye anataka kujipambanua kama timu Haji.
Simba inavunjika kwa ubinafsi mkubwa na tamaa za Manara,kukosa hekma kwa mwekezaji wa Simba,na fitna zilizoenda shule zinazoandaliwa na washindani wa Mohammed enterprises. Kumbe pesa sio kila kitu
Sasa msemaji wa club kwanini halipiwi ndege na hotel hadi inabidi alale kwenye makochi ya reception?Haji hakulazwa kwenye makochi, ila alizamia safari ambayo hakuwamo kwenye list ya ticket na hotel
We naye sijui unawaza nini kwani hiyo mishahara anawapa bure au?Anachopitia MO kila mtu anaweza pitia.....
Ufanye jambo, uwabebe watu mgongoni afu kitokee kiumbe kibeze uliyoyafanya, utukanwe mitandaoni. Alafu ukija kuangalia mpaka wale unaowalipa mshahara nao wapo upande wa anayekubeza kwa namna moja au nyingine......inauma sana.
Walio karibu na MO wamshauri akae pembeni na mitandao ya kijamii kwasasa, atakayoyaona yatamchoma sana.
Kanuni mojawapo ya kudeal na mambo kama haya ni kutoyafatilia. Wanaompa sapoti na kuthamini mchango wake wako wengi kuliko wanaombeza sema yeye anataka kufatilia wanaombeza. Inaonekana emotional quotient yake iko chini kwenye eneo hili, akae mbali na mitandao itamsaidia kwa sasa la sivyo ataharibu.Anachopitia MO kila mtu anaweza pitia.....
Ufanye jambo, uwabebe watu mgongoni afu kitokee kiumbe kibeze uliyoyafanya, utukanwe mitandaoni. Alafu ukija kuangalia mpaka wale unaowalipa mshahara nao wapo upande wa anayekubeza kwa namna moja au nyingine......inauma sana.
Walio karibu na MO wamshauri akae pembeni na mitandao ya kijamii kwasasa, atakayoyaona yatamchoma sana.
Moo hakawii kusingizia kuwa alikua amelala na simu yake alikua nayo Babra hapo chumbani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] balaa zito mbona hafanani kwa hadhi yake
Hao wote uliowataja ni magori tu Ndio wa maana zingine hizo ni takataka, hasa Hand pop1.Salim Abdallah (Try Again)
2. Hans Pope
3 Magori
Kwahiyo timu ndani ya bodi hakuna kitakachoharibika.
Manara alone hawezi kuiangusha Simba never.