Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii umeandika kama utani ila utashangaa kitakachomtokea Chama,Ajiandae Barbara anaweza kumshughulikia, ataanza kulala kwenye makochi wakienda nje ya nchi🤣
one & onlyUnaweza ukawa tajiri sana lkn ukakosa ile reputation ya utajiri.
Ndo maana namheshim sana Bakhresa
[emoji23][emoji23][emoji23]mo si atulie na yeye kahTuliokuwa tunatetea tuhuma za Haji tukaonekana utopolo
Mo hamna kitu kichwani + na Babara yai viza = majuto
Wewe jamaa utakuwa ni shoga,mpumbavu mkubwa wewe yaani muda wote ni kumsema MO TU,wewe utakuwa ni choko tu, unatunga vi habari kwa nadhalia zako bila kuweka ushaidi,kama wewe sio shoga?! Eleza kwa ushahidi ni nani ametoa maelezo wachezaji wamsifu MO!!Anatumia nguvu sana kuonyesha kuwa amejitolea mno ili Simba SC ifike hapa ilipofika. Kitu ambacho ni ukweli usiofichika, MO amepambana sana Simba ifike hapa ilipofika na anajua organization/enterpreneurship.
Lakini MO anachokosea ni kwamba mpaka Simba ifike hapa ilipofika kuna watu wengi sana wamehusika. Hii hadi mashabiki wa Simba, na mpaka baadhi ya wachezaji wa Simba wameaminishwa kuwa si kweli.
Timu inaanza kuwa ya kidikteta kwa kujitakia yenyewe kisa ni imani kuwa MO ndiyo kila kitu mwacheni. Si kweli kwani Simba itegemee ushindani mkubwa sana 2021/22 na hapo ndipo watamuona kama ni mwekezaji kama walivyo wawekezaji wengi duniani.
Inasemekana baada ya hapo wachezaji wakaanza kumpaisha ili asiwe na hasira (waliambiwa) which is so weird. Na kuna wanabodi kadhaa huwa hawamfagilii Chama wakidhani yupo close na Yanga kama alivyo manara.
Kuna binadamu wengine cjui wana akili gani yaani.mtu anamsema Mo kila saa ooh cjui cjui hawana ushahidi. Ajabu anaewaaminisha hana ajmhata senti moja anayomlipa hata mfagiaji wa uwanja wa mazoezi wa simba. Binadamu hawana shukrani aisee. Yaani wanataka Manara asifuate maadili ya kazi na aachwe tu. Tujipe muda naamini simba watakuja kumwaga ushuzi wote wa manara maana c kalikorogaWewe jamaa utakuwa ni shoga,mpumbavu mkubwa wewe yaani muda wote ni kumsema MO TU,wewe utakuwa ni choko tu, unatunga vi habari kwa nadhalia zako bila kuweka ushaidi,kama wewe sio shoga?! Eleza kwa ushahidi ni nani ametoa maelezo wachezaji wamsifu MO!!
Hujui kuwa wachezaji nao ni binadamu nao wanaguswa na ujinga wa machoko wenzako mnaomsema tajili yao ambae ndie anaewalipa?
Acha ushoga wewe mlemavu wa akili?! Upo hapa jf muda wote ni kumuongelea Mohamed uku umejikunyata kwenye kochi la shemeji yako fala kabisa wewe
Chama kazingua huwez kumsifia mtu aliyefukuzwa kwenye taasisi uliyopo. Kazingua aisee sio kidogo. Alitakiwa mambo za manara aziskip na kuhojiwa hojiwa hata insta live wasiingie aiseeMi binafsi sijasikia chama alichosema ila kama kweli aliamua kumsifia Manara hadharani inaonesha ni jinsi gani moyo wake haupo sawa na uongozi.
Hii ni dalili mbaya sana na ninaanza kuhisi huenda ni mmoja wa wachezaji aliyetumika na Manara kuihujumu Simba.
Mambo haya yanaanza kidogo kidogo lakini master planner wa hii inaonekana amejipanga kuibomoa Simba kweli.
Bahati mbaya naona haitakuwa kazi ngumu kutokana na Mo mwenyewe kukosa hekma na uvumilivu.
Hapa naona Bakhresa ama GSM wanaanza kufanikiwa michezo yao.Mo ataondoka sio muda mrefu.
Tunaanza na kupoteza ngao ya hisani.Yajayo yanatia shaka mno.Chama hawezi kuwa sawa tena baada ya ujinga aliofanya leo.Naanza kuona mgomo baridi kwa wachezaji wanaomuunga mkono Chama ambaye anataka kujipambanua kama timu Haji.
Simba inavunjika kwa ubinafsi mkubwa na tamaa za Manara,kukosa hekma kwa mwekezaji wa Simba,na fitna zilizoenda shule zinazoandaliwa na washindani wa Mohammed enterprises. Kumbe pesa sio kila kitu
Na hawa ni aina ya washabiki wasiojielewa. What a coincidence!Wewe jamaa utakuwa ni shoga,mpumbavu mkubwa wewe yaani muda wote ni kumsema MO TU,wewe utakuwa ni choko tu, unatunga vi habari kwa nadhalia zako bila kuweka ushaidi,kama wewe sio shoga?! Eleza kwa ushahidi ni nani ametoa maelezo wachezaji wamsifu MO!!
Hujui kuwa wachezaji nao ni binadamu nao wanaguswa na ujinga wa machoko wenzako mnaomsema tajili yao ambae ndie anaewalipa?
Acha ushoga wewe mlemavu wa akili?! Upo hapa jf muda wote ni kumuongelea Mohamed uku umejikunyata kwenye kochi la shemeji yako fala kabisa wewe
Wewe na ww Mo atafute kiki..? Duuh unawaza kwa kutumia nini..?Mimi nimewaza tofauti na nyie
Mo kahamisha mjadala wa manara kijanja hii kwa wasanii tunaita kiki
Sasa ivi upepo umehamia kwake na mjadala wa manara umezikwa rasmi....
Hakuna kitu kama icho iyo ni editing tu,ni watu wamejipanga kuichafua Simba kwenye mitandao ya kijamii!! Hizi kampeni hazijaanza leo,toka msimu huu wa ligi ulioisha kampuni moja iliyobadili jina ili kukwepa kodi,ambayo ina uhusiano na timu moja ya ligi kuu,ambayo iliwahi kuwa na kocha mzungu ambae aliwafananisha viongozi wa timu iyo na mashabiki wao kuwa wanatabia kama za nyani na muda wote wanabweka kama umbwa.Mi binafsi sijasikia chama alichosema ila kama kweli aliamua kumsifia Manara hadharani inaonesha ni jinsi gani moyo wake haupo sawa na uongozi.
Hii ni dalili mbaya sana na ninaanza kuhisi huenda ni mmoja wa wachezaji aliyetumika na Manara kuihujumu Simba.
Mambo haya yanaanza kidogo kidogo lakini master planner wa hii inaonekana amejipanga kuibomoa Simba kweli.
Bahati mbaya naona haitakuwa kazi ngumu kutokana na Mo mwenyewe kukosa hekma na uvumilivu.
Hapa naona Bakhresa ama GSM wanaanza kufanikiwa michezo yao.Mo ataondoka sio muda mrefu.
Tunaanza na kupoteza ngao ya hisani.Yajayo yanatia shaka mno.Chama hawezi kuwa sawa tena baada ya ujinga aliofanya leo.Naanza kuona mgomo baridi kwa wachezaji wanaomuunga mkono Chama ambaye anataka kujipambanua kama timu Haji.
Simba inavunjika kwa ubinafsi mkubwa na tamaa za Manara,kukosa hekma kwa mwekezaji wa Simba,na fitna zilizoenda shule zinazoandaliwa na washindani wa Mohammed enterprises. Kumbe pesa sio kila kitu
Labda simu anayo babra.Au sio yeye?