3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
CEO hana utani kwenye haya masuala, Haji na mikwara yake yote alijirekodi huku analia kama moto mdogo !
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] haji alikojoa na ukunga juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CEO hana utani kwenye haya masuala, Haji na mikwara yake yote alijirekodi huku analia kama moto mdogo !
kutumia neno "takataka" wakati unazungumzia mtu mwingine inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na naksi ya utu na akili finyu.Hao wote uliowataja ni magori tu Ndio wa maana zingine hizo ni takataka, hasa Hand pop
huyu mhindi vip huyu mbona ana mambo ya kiswahili sanaMwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji "Mo Dewji' leo Ijumaa 06 Agosti 2021, alionekana kukerwa na kitendo cha mchezaji nyota wa Simba Clatous Chama kumsifia aliyekuwa msemaji wa klabu ya Simba ndugu Haji Manara katika instagram live aliyokuwa akiifanya na mashabiki wake.
Mo Dewji alivamia instagram live feed ya Chama na kumuuliza ni nani aliyelipia hela ya usajili wako ni Haji aliyelipia ? na kuondoka mara moja. Kitendo hicho kimeonekana kuwakera baadhi ya mashabiki wa Simba.
View attachment 1883140View attachment 1883141View attachment 1883142View attachment 1883143
=====
Updates baada ya yaliyotokea, Chama ameamua kuacha kumfollow Mo Dewji katika mtandao wa InstagramView attachment 1883315
Hata Magori ni bogus tu ... hocus pocus.Hao wote uliowataja ni magori tu Ndio wa maana zingine hizo ni takataka, hasa Hand pop
Hao wote uliowataja ni magori tu Ndio wa maana zingine hizo ni takataka, hasa Hand pop
Takataka maana yake ni useless, mini nakwambia sasa na narudia tena hapo Magori Ndio mtu tu , Hans pope na Try Again ni takataka. Hawawezi kuiongoza Taasisi kama simba kea ufasaha,kutumia neno "takataka" wakati unazungumzia mtu mwingine inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na naksi ya utu na akili finyu.
Namjua nje ndani, Hans pope hawezi kuiongoza simba, yuko very emotional, rejea tulip lake kwa kuwalaumu wakina chama, mechi ya mtaani na Ile kesi ya Morison.Unamjua hans pope au? Shauri yako
At least huwa anatuliza akili anaposema, wengine hao wote ni waropokajiHata Magori ni bogus tu ... hocus pocus.
Kabla ya Magori waliiongoza Simba for two years msimu wa 2017/2018 Mwenyekiti alikuwa Salim Abdallah.Takataka maana yake ni useless, mini nakwambia sasa na narudia tena hapo Magori Ndio mtu tu , Hans pope na Try Again ni takataka. Hawawezi kuiongoza Taasisi kama simba kea ufasaha,
Engineer Hersi ndiyo genius mkuuHata Magori ni bogus tu ... hocus pocus.
Kishamfollow tena bwana. Tajiri hanuniwi ukizingatia bado ana mkataba Simba 😂Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji "Mo Dewji' leo Ijumaa 06 Agosti 2021, alionekana kukerwa na kitendo cha mchezaji nyota wa Simba Clatous Chama kumsifia aliyekuwa msemaji wa klabu ya Simba ndugu Haji Manara katika instagram live aliyokuwa akiifanya na mashabiki wake.
Mo Dewji alivamia instagram live feed ya Chama na kumuuliza ni nani aliyelipia hela ya usajili wako ni Haji aliyelipia ? na kuondoka mara moja. Kitendo hicho kimeonekana kuwakera baadhi ya mashabiki wa Simba.
View attachment 1883140View attachment 1883141View attachment 1883142View attachment 1883143
=====
Updates baada ya yaliyotokea, Chama ameamua kuacha kumfollow Mo Dewji katika mtandao wa InstagramView attachment 1883315
Ni watu wenye mapungufu ya akili tu ndiyo hutumia lugha za kutweza wengine.Takataka maana yake ni useless, mini nakwambia sasa na narudia tena hapo Magori Ndio mtu tu , Hans pope na Try Again ni takataka. Hawawezi kuiongoza Taasisi kama simba kea ufasaha,
Lol 😂😂😂Mo ndio maana alivishwa khanga. Huyu jamaa ni mpuuzi sana, mimi sifuatilii mambo ya mpira so hii issue yao sikuwa naichangia sana lakini kwa comment hii aliyoitoa ni bora Haji ana akili kuliko Mo
Sasa hapo mbona kama anaingilia uhuru wa wachezaji na anataka kujifanya yeye ndio kila kitu hadi kwenye maisha ya watu
Chief huwezi ku underestimate nafasi na kazi aliyofanya manara simba. Na sio kweli kwamba kila shabiki wa simba yuko kinyume na manara. Pamoja madhaifu yake ana mchango mkubwa kuifikisha team ilipo, huwezi kuwazuia watu kuona hilo. He is gone now, cha msingi ni kufocus kujenga team na kuendekeza haya yanayoendelea.Sio chama tu hata akina Boko wanazingua sana kuanza kumsifu manara wakati washabiki wote wako against. Anyway usajili huu mo aweke engine mpya za kazi sio hawa waliozoea watu
Najua,simba kipindi hicho ilikuwa timu ndogo. Kwa sasa simba ni timu kubwa Sana. Hao hawawezi, hao jamaa wote Wana ushamba au niite uswahili katika uongozi Ndio maana nikakwambia kuwa angalia mfano wa Hans pope kwenye kesi ya Morison au Michezo wa mtaani mliofungwa moja bila. Anabehave kwa hisia badala ya uhalisia.Kabla ya Magori waliiongoza Simba for two years msimu wa 2017/2018 Mwenyekiti alikuwa Salim Abdallah.
Hans Pope amekuwa mwenyekiti wa kamati ya usajili kwa zaidi ya miaka 10
Hebu sema huo utakataka wao uko wapi ?
Aliulizwa kwanini unadhani Simba ina mashabiki wengi zaidi ya Yanga?At least huwa anatuliza akili anaposema, wengine hao wote ni waropokaji
Basi kaongoze wewe ambaye hauko kwenye dustbinNajua,simba kipindi hicho ilikuwa timu ndogo. Kwa sasa simba ni timu kubwa Sana. Hao hawawezi, hao jamaa wote Wana ushamba au niite uswahili katika uongozi Ndio maana nikakwambia kuwa angalia mfano wa Hans pope kwenye kesi ya Morison au Michezo wa mtaani mliofungwa moja bila. Anabehave kwa hisia badala ya uhalisia.
Magori kuna siku alipiga simu(sio walipigiwa) pale Sports Arena wasafi fm akasema kuwa kesi ya Morison vs Yanga CAS haipo, viongozi wa Yanga wanawadanganya mashabiki. Lakini sass hivi tunaona kesi ipo ,
Simba itafute watu hata kama ni nje ya nchi waongoze Taasisi kama sisi wazawa tunashindwa.
Hersi is very smart.Engineer Hersi ndiyo genius mkuu