Mo Dewji akerwa na Clatous Chama baada ya kumsifia Haji Manara Instagram Live

Mo Dewji akerwa na Clatous Chama baada ya kumsifia Haji Manara Instagram Live

Kuna watu wanadhani pesa peke yake zinaleta ufanisi kwenye mchezo wa soka.
Mafanikio ya mchezo wa Soka ni muunganiko wa mambo mengi.

Mo anatakiwa ajifunze kuishi na watu asiowapenda ambao wana msaada furani kwenye maendeleo ya Simba.

Ni kweli kwamba Simba ni taasisi iliyo zaidi ya Manara na watu wengine, Lakini dhahiri Haji alikuwa na mchango wake kwenye kuiunganisha timu na mashabiki.
Baadhi ya Mashabiki hasa wale waliovutiwa na amsha amsha zake wanaona kuna kitu wamekipoteza ndani Simba.
Naipenda Simba hata manara alipoondoka niliona siyo ishu ,ila Mo anacholeta ni utoto ,kujibizana na wachezaji ni ujinga ,timu inahitaji mshikamano , Leicester city ilipochukua kombe siyo kwamba ina wachezaji wakali wa gharama ila spirit na maelewano
 
Naipenda Simba hata manara alipoondoka niliona siyo ishu ,ila Mo anacholeta ni utoto ,kujibizana na wachezaji ni ujinga ,timu inahitaji mshikamano , Leicester city ilipochukua kombe siyo kwamba ina wachezaji wakali wa gharama ila spirit na maelewano
Kitu ambacho mwamedi anakosea ni kuwa kufikili kuwa yeye pekee ndio mafanikio ya simba halafu chama hajaajiriwa na METL group bali na simba Ltd mwamedi ni boss wa metl s simba ni Mwekezaji tu sio mali ya Dewji inabidi awe prof lakini ameleta uswahili hoja za manara zimepata nguvu mno
 
Mimi nimeona Inst boss.Chama ana uhuru wa kuwasiliana na mtu yeyoye na kusema lolote analojisikia (freedom of Speech)ilimrad asivunje tu sheria za nchi.
Hukuwa live so hujui chama alikuwa anazungumzia nini, ni mazungumzo hayo.....hakuna privacy iliyoingiliwa hapo.
Huoni comment za hao wengine......
Huoni kuna He never apologised......hii namaamisha nini chama alisema manara asamehewe.....au kitu cha kuendana na hichi.
Nani analipa signing fee....haji? Possibly chama alisema kwamba manara ana umuhimu mkubwa.
Am out of this conference.......means mtu anaaga kwa amani baada ya kuenjoy na wenzake kungekuwa na utata asingeaga kabisa.
 
Naipenda Simba hata manara alipoondoka niliona siyo ishu ,ila Mo anacholeta ni utoto ,kujibizana na wachezaji ni ujinga ,timu inahitaji mshikamano , Leicester city ilipochukua kombe siyo kwamba ina wachezaji wakali wa gharama ila spirit na maelewano
Unahukumu kwa screenshot mkuu?
Unajua walikuwa wanazungumza nini? Kama ilikuwa ni friendly talk?
 
Hukuwa live so hujui chama alikuwa anazungumzia nini, ni mazungumzo hayo.....hakuna privacy iliyoingiliwa hapo.
Huoni comment za hao wengine......
Huoni kuna He never apologised......hii namaamisha nini chama alisema manara asamehewe.....au kitu cha kuendana na hichi.
Nani analipa signing fee....haji? Possibly chama alisema kwamba manara ana umuhimu mkubwa.
Am out of this conference.......means mtu anaaga kwa amani baada ya kuenjoy na wenzake kungekuwa na utata asingeaga kabisa.
Ule ni uswahili tu mo akili yake sawa na manji hataki kuulizwa kigwa aliulizia mwamedi kaenda kutoa maswala binafsi waliyozungumza wawili
 
Sasa Mo ameanz kuji leti Down , Tajir kweli una muda wa kufalia Jambo kimtindo wa kiswahili swahili, sasa SSC inaend kuisha bila Haji

Mimi nazan boss anatakiw kujiepush kutoa kauli za ovyo ovyo kwenye Public media yeye aagize body yake ishughulke na mambo ambayo hajaridhk nayo.
 
Na katika hili sakata asipokuwa makini arakuja kupigwa KO moja tu mpaka akimbilie kutishia kuacha team kama kawaida yake, kwasasa anatakiwa ajue kabisa kuwa licha ya yeye kuachana na Manara haimaanishi kuwa Manara hana watu ndani ya SIMBA SC, na ajue kabisa katika hili manara hajasimama pekeyake.

Kikubwa zaidi akumbuke kuwa Hawa mashabiki wanaojidai kumoenda sasahivi na kumchukia Manara,amewaroga kwa mafanikio kidogo yaliyopatikana ndani ya hii misimu minne, SIMBA SC ikianza kufanya vibaya ndo atawaelewa rasimi.Chukulia mfano YANGA akampiku simba Sc hata kwa misimu miwili tu,alafu ujijibu mwenyewe.
Mechi 4 tu ya ligi Simba afungwe au dro za kufuatana Mo atajua watu hawajali hela zake ,na Mo kutishia kuacha timu akijaribu upande wa Manara utafaulu halafu utashangaa Azam wanaweka udhamini ,ndo utajua Mo hana chake ,akisusa tu inakuka kwake Simba Sasa hivi wawekezaji wanaitamani sana kwa mafanikio iliyofikia
 
Aisee ila MO dewji ni mshamba ssna .[emoji15][emoji849]

Tajiri mshamba.

Aisee Simba mna tatizo kubwa Sana

Taratibu Haji ataanza kuonekana Lulu vitabia hivi vya mo vya kijino pembe soon atadhihirisha sura yake
 
30+ na ni mkazi wa palee mitunduruni Singida alipozaliwa.
Mnyaturu piwa labda miwani tu ikatae.
Namfua uwanja kajenga,kuna timu Born city kasimamia sana akiwa mbunge Singida kabla haijaitwa Singida United.
Tusimchukulie poa kusema ukweli huyo bwege Chama anacheza na kikombe cha chai moto.
Swali simple tu Manara anakulipa mshahara?ngoja tuone hapa ndo narudi na bisi zangu
Mo anakimbilia 50 huko mzee
 
MO mswahili sana,yupo kama Juma Ndandala wa huko keko machungwa,na hapo ndiyo kasoma shule za maana!

Sasa sijui kama angesoma shule hizi za kwetu za St Kayumba! Trust me! MO angekua Mchawi!
Watu sijui Kama wanakumbuka kuwa Mo kasoma shule za maana Sana hapa mjini IST , Georgetown University but still mshamba ,uswahili mtupu.

Jasiri haachi asili
 
Back
Top Bottom