Mo Dewji akerwa na Clatous Chama baada ya kumsifia Haji Manara Instagram Live

Mo Dewji akerwa na Clatous Chama baada ya kumsifia Haji Manara Instagram Live

Akija kujifitinisha na wachezaji kisha kusababisha migomo ya wachezaji (hasa professional players wa nje), ndo atajua kuwa mpira hauhitaji pesa tu.

Hivi kuna ulazima gani wa kupeleka bifu lake kwa wachezaji au yeye anadhani kwa pesa zake basi kila mtu atakuwa upande wake?

Yeye kama boss anatakiwa akae pembeni kabisa kama vile hakuna kitu kina endelea mashabiki waongee, ujinga wake wa kuwa provoked utakuja kumpa ushindi mkubwa yule haji.
Daah Boss amejibu "kiswazi sana" kama si msomi banaa.....

Yaani anafanya "childish blackmailing" kwa "professional player"😲😲🤣🤣

Tuliambiwa kuwa SSC ni "next level kiuwekezaji".....
 
No ni aina dukani ya watu wanaopenda umaarufu sana,bahati mbaya umaarufu haujawahi kumtaka.Hana kabisa personality kama walionayo matajiri wengine hapa Tz na huko duniani,nafikiri ni kwasababu hajahangaika kuzitafuta ndomaana hafanani kitabia na self-made billionaires.


Sasa kulikuwa na haja gani ya boss wa club kwenda kucomment shombo kama zile kwenye live ya CHAMA? Aiseeeh[emoji23]
Huyo ni Mwamedi bro
 
Laporta said the club could not agree to this deal because of the impact it could have on Barca for the next 50 years.

Barca had to agree to an operation that would affect the club for the next 50 years in terms of TV rights. I cannot make a decision that will affect the club for the next 50 years," he said.

"The club is over 100 years old and above everyone - coaches, players, presidents - including the best player in the world."
 
Jamaa nilikua naonankama anasingiziwa yale aliyoyaongea Manara ila kumbe yanaweza kuwa na ukweli. Jamaa ni tajiri ila kama anaujinga na uswahili uswahili usio na maana. Vitu vingine hapaswi hata kujihusisha ila unashangaa anaingiliaje?

Kazi kwelikweli.
 
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji "Mo Dewji' leo Ijumaa 06 Agosti 2021, alionekana kukerwa na kitendo cha mchezaji nyota wa Simba Clatous Chama kumsifia aliyekuwa msemaji wa klabu ya Simba ndugu Haji Manara katika instagram live aliyokuwa akiifanya na mashabiki wake.

Mo Dewji alivamia instagram live feed ya Chama na kumuuliza ni nani aliyelipia hela ya usajili wako ni Haji aliyelipia ? na kuondoka mara moja. Kitendo hicho kimeonekana kuwakera baadhi ya mashabiki wa Simba.
View attachment 1883140View attachment 1883141View attachment 1883142View attachment 1883143
Mudi ni takataka regardless utajiri alionao,yaani ana ushamba mwingi sana
 
Anachopitia MO kila mtu anaweza pitia.....
Ufanye jambo, uwabebe watu mgongoni afu kitokee kiumbe kibeze uliyoyafanya, utukanwe mitandaoni. Alafu ukija kuangalia mpaka wale unaowalipa mshahara nao wapo upande wa anayekubeza kwa namna moja au nyingine......inauma sana.
Walio karibu na MO wamshauri akae pembeni na mitandao ya kijamii kwasasa, atakayoyaona yatamchoma sana.
 
Back
Top Bottom