MO Dewji akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa FIFA Gianni Infantino, amkabidhi jezi ya Simba SC

MO Dewji akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa FIFA Gianni Infantino, amkabidhi jezi ya Simba SC

Mimi nahitaji hirizi Kama ya kagere
Wewe ongea tu. Sisi Simba kupitia MO tunamsaka Benerd Morisson kwa gharama yoyote tuondoe hiyo kiburi yenu mlonayo. Huyu jamaa amefanya makubwa Orlando Pirates. Tunataka aje kushirikiana na Chama kuonesha maujuzi.
 
Ahaaaa. Wametoa jezi hiyo japo chini. Atamkabidhi hiyo bila shaka Mkuu.
tapatalk_1578652418779.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana.. hatimaye jezi ya Mnyama Mkali yamfikia mwenye mpira wake huku huku aliko.

Huu ni uthibitisho wa ubora na thamani ya klabu yetu ya Simba SC.
👊👊👊
 
Back
Top Bottom