Ni zake 100%.Kwa hiyo unaamini zile tweets ni real?
Nenda zako, idiot! Unampapatia mwanaume mwenzako kwa kumuita bosi kisa ana fedha?Sasa uoni kama ukiwa na akili wewe inatosha mbona unajipa umuhimu kwenye maisha ya watu mzee ๐๐๐ wahediii kabisa ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Nenda zako, idiot! Unampapatia mwanaume mwenzako kwa kumuita bosi kisa ana fedha?
Sikuhizi hakuna hiyoVIVIP si anamshika mkono mwanawe wanaingia!!!
waliozaliwa na kijiko cha dhahabu haoKajamaa kanapenda kutrend sana....
Kaongelewage kenyewe....
Kwani ile TAMAA haijakatika tu? maana ilituambia anakaribia kuikata.Wanasimba nawapenda sana, ila naomba kulalamika, nimeomba ticket ya VVIP kuajili ya mtoto wangu: kamati ya Salim Mk wa board na pamoja na Mk wa simba Mwangungu na CEO Imani wamekataa. :- Je hii ni haki? je hi ni zhulma?
View attachment 2713708
Hiyo hakuna labda kwako, sio kwa kila mtu.Sikuhizi hakuna hiyo