Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Kama wewe mkewangu ulivyokipenda habari za feisalHizi ndio habari Gongowazi wanapenda kuzisikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wewe mkewangu ulivyokipenda habari za feisalHizi ndio habari Gongowazi wanapenda kuzisikia
Hapo biashara inafanyikaje?hizo ni mbinu za kibiashara tu, mpaka wewe kupost habari zake.
kitaalamu Moo amefanikiwa kwa hilo
Tweet ya mchongo hiyoTweets ni ya dewji kunyimwa ticket ya VVIP yanga wameingiaje
Umesema wewe sababu haijakufurahisha alafu unawatupia lawama yangaTweet ya mchongo hiyo
Akaunti imehackiwaKuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Hili ni igizo. Kweli hii nchi sisi wananchi ni mazoba kukubali kusombwa na usanii wa watu kama hawa. Ndiyo maana mimi siku hizi haya mambo ya Simba na Yanga niliyapiga marufuku kabisa na wala sitaki kabisa kuyasikia. Siwezi kuwasindikiza mafisadi wanaojifanya ni wafadhili wanaotumika kuchota akili za raia ili watawala wazidi kula kwa ulaini.Kajamaa kanapenda kutrend sana....
Kaongelewage kenyewe....
Du. Ndiyo maana tulichukuliwa watumwa kirahisi kabisa. Kumbe huyu ndiyo bosi wako? Si ajabu wewe ni mlalahoi anayeshabikia mambo kama nyumbu bila hata kujua maana.Boss wetu tunampenda sana ila manung'uniko yamezidi, masimango ndio usiseme, kila siku ni kuandikiwa tweet za mipasho na masimango.
Safari ya matumaini sidhani kama tutafika na kama tutafika basi tutafika tumechoka mnooo!
Hii ni muda mfupi uliopita leo kuelekea match ya ngao ya hisani mjini Tanga.
Zinaonyesha utoto sana.Huyu bwana abadilike sasa.Binafsi napenda utulivu uliopo Yanga pamoja na kwamba ni kama wana bendi ya mtu mmoja. Hizi tweet hata kama ni matani hazileti taswira nzuri kwa Simba. Ni mtazamo wangu tu.
Jiheshimu choko wewe, unatafuta bwana???Du. Ndiyo maana tulichukuliwa watumwa kirahisi kabisa. Kumbe huyu ndiyo bosi wako? Si ajabu wewe ni mlalahoi anayeshabikia mambo kama nyumbu bila hata kujua maana.
Wao ndiyo wameichongaUmesema wewe sababu haijakufurahisha alafu unawatupia lawama yanga
Anajikuta Elon MuskZinaonyesha utoto sana.Huyu bwana abadilike sasa.
Wao wakina naniWao ndiyo wameichonga
Bora niwe choko lakini niwe najitambua kuliko kuvamia wahindi na kuwaita ma-bosi wangu. Akili ni kila kitu.Jiheshimu choko wewe, unatafuta bwana???
Weka wazi hicho kitu aiseeeKuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Sasa uoni kama ukiwa na akili wewe inatosha mbona unajipa umuhimu kwenye maisha ya watu mzee 😂😂😂 wahediii kabisa 🚮🚮🚮Bora niwe choko lakini niwe najitambua kuliko kuvamia wahindi na kuwaita ma-bosi wangu. Akili ni kila kitu.
Ila huyu Mwamedi anapenda sana kulalamika, pure mzaramo.Wanasimba nawapenda sana, ila naomba kulalamika, nimeomba ticket ya VVIP kuajili ya mtoto wangu: kamati ya Salim Mk wa board na pamoja na Mk wa simba Mwangungu na CEO Imani wamekataa. :- Je hii ni haki? je hi ni zhulma?
View attachment 2713708