Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au mmechungulia mkaona kipigo kutoka Kwa singida ,mnaanza ngonjera mapema ili likitokea mpate pa kupotezea mjadalaKuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Wait and seeAu mmechungulia mkaona kipigo kutoka Kwa singida ,mnaanza ngonjera mapema ili likitokea mpate pa kupotezea mjadala
Habari kama hizi watanzania wengi tu mnazipenda,hampishaniHizi ndio habari Gongowazi wanapenda kuzisikia
Kweli ukimpenda kipofu, utaita kengeza.Kuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Hahahaha,kwa hiyo hii ni GAME MIND ?Kuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Mnavyojikombakomba sasa. Mtafanya nini na ingali hamjiwezi?Mtego huo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uto shtuka
hawana izo akiliKuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Ila nyie hampendi?Hizi ndio habari Gongowazi wanapenda kuzisikia
So kumbe bado hujastuka?Hahahaha,kwa hiyo hii ni GAME MIND ?
Au anambeba na kumpakata tu.VIVIP si anamshika mkono mwanawe wanaingia!!!
Mi najua ni njama tu zinafanywa so siichukulii the way Uto mlivyoipokeaIla nyie hampendi?
Hamna namna mvumilie tu tajiri, utafanyaje sasa. [emoji16]
Uzuri wa mbumbumbu ni kwamba akili zipo ila ni kidogohawana izo akili
simba ni mbumbumbu tangu awali sema vile unataka aminisha wana akili kubwa
suala la udharirishaji liko palepale
Mie nishamshtukiaga Tajiri kitambo tu, kwanza hizo akaunti za Twitter na Instagram anazitumia kwa mambo ya Mpira tu tena kuzingua kama hivi ( kama ni kweli ni yeye )So kumbe bado hujastuka?
Inasaidia nini kwenye Football ? umewahi kuona Barca ,Real Madrid au PSG wakifanya harakati kama hizo ?So kumbe bado hujastuka?