MO Dewji alalamika kunyimwa tiketi ya VVIP

MO Dewji alalamika kunyimwa tiketi ya VVIP

Habari za majukumu wapendwa? Huyu MO ni tajiri mkubwa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati, lakini amezidi mno kulalamika, na kujielezaeleza kila anapofanya kitu fulani kwaajili ya Club yetu ya Simba.

Wewe ni bosi, na ukimya ni hulka ya mabosi, punguza kusema sema sana kwenye media, mambo hayo tuachie sisi akina yakhe tuliozoea maisha hayo ya maneno maneno.

View attachment 2713728


View attachment 2713729

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Mwanangu ukaanzisha na uzi kabisa??

Hahahahaha
 
Inasaidia nini kwenye Football ? umewahi kuona Barca ,Real Madrid au PSG wakifanya harakati kama hizo ?
Kwani wapi umewahi kuona Bacca, PSG au Madrid wanatembeza bakuli?
 
Boss wetu tunampenda sana ila manung'uniko yamezidi, masimango ndio usiseme, kila siku ni kuandikiwa tweet za mipasho na masimango.

Safari ya matumaini sidhani kama tutafika na kama tutafika basi tutafika tumechoka mnooo!


Hii ni muda mfupi uliopita leo kuelekea match ya ngao ya hisani mjini Tanga.
Msichukulie vitu serious sometimes anachangamsha genge tu!
 
Tajiri mudi dawa ndogo usilipe mishahara hao kunguni Awana adabu big boss watoto wako wanataka wakaitazame guest hiyo mechi? wakati timu Mali Yao
 
Hii tweter haiwezi kuwa ya MO haiwezekani mimi Yanga ila hili haliingii akilini
 
Wanasimba nawapenda sana, ila naomba kulalamika, nimeomba ticket ya VVIP kuajili ya mtoto wangu: kamati ya Salim Mk wa board na pamoja na Mk wa simba Mwangungu na CEO Imani wamekataa. :- Je hii ni haki? je hi ni zhulma?

View attachment 2713708
Aliposema ametoa bilioni 3 za usajili na akamalizia yale maneno yake, tunaojua tayari tulishajua.
 
Mmeambiwa muombe msamaha kwa kukashifu walemavu. Badala yake mnalilia ticket!

[emoji28][emoji28][emoji28]
Wale sio walemavu, kuendelea kuwaita walemavu ndio unazidi kuwafanya waonekane inferior
 
Katamka mwenyewe, sijamlisha maneno.

Hii ni dalili mbaya,. Mtu aliyejitolea zaidi ya billion 3 za usajili anawezaje KUNYIMWA TIKETI ?
IMG_20230810_173251.jpg
 
hizo ni mbinu za kibiashara tu, mpaka wewe kupost habari zake.
kitaalamu Moo amefanikiwa kwa hilo
 
Back
Top Bottom