Mo Dewji amuomba msamaha Kigwangalla kwa kumnyima mkopo baada ya kuhojiwa uenyekiti wake Simba bila kukamilisha uwekezaji

Kumbe alikopa pikipiki ahonge wapiga kura
 
Yeye Mo sio mkweli..
Anataka geuza Simba kama Mali yake binafsi
Hisa zake ni asilimia 49 Tu na hajalipa hiyo hela.


Watu wenye hisa hisa asilimia 51 wanayo haki ya kuuliza

Hao wenye hisa 51% ni akina nani? Na je walishaingiza kwenye club fedha zote za hiyo 51%?
Hamisa ni miongoni mwa hao wenye 51% ambao unasema wana haki ya kuuliza..!?
 
Simba pigeni kimya tu.. Hela hamna nyie.
 
Kigwa,makamba jr,makonda n.k karma ya kumpa kesi ya uongo manji ili tu mo asiwe na mshindani kwenye soka letu,itawatafuna vizazi na vizazi
 
Tutaongea mengi lakini kimsingi sisi kama mashabiki wa simba kinachotupa uhai na furaha juu ya team yetu ni ushindi tu na sio hayo makolokolo mengine.Kama Mo ataiwezesha team yetu kushinda ndio furaha yetu kama mashabiki hayo mambo mengine sijui katoa bilion 20 au hajatoa tuachie viongozi.Waziri kwa nafasi yake ana uwezo wa kumpigia cm au kumface muwekezaji juu ya malipo yake ya share.kulihoji hadharani ni kuonyesha nia nyingine zaidi ya hilo.Hamisi kuleta mpasuko Simba kwa nafasi yake sio sahihi.
 
Mkuu unachosema ni sahihi kazi ya huyo mama itakua kupika mahesabu.

Tunapigwa Simba kama tulivyopigwa mashamba ya mkonge.
 
Anashindwa kujua tajiri hanuniwi
 
Umeandika mengi lakini mengi niujinga, hizi timu ambazo zunashindwa hata kulipa mishahara ndio useme MO aondoke, wewe ndio wake mnaotegemea kupata vijisent kupitia Simba na Yanga Hawa wawekezaji wamebana ulaji wenu kwahio mnataka waondoke mturudishe tulipokuwa. Nimekuambia leteni mwekezaji mwingine ili MO aondoke, kipindi MO hajaingia Simba mbona wachezaji walishindwa lipwa hata mishahara hao wadhamini hawakuwepo?.
 
Kwahiyo kwako ww unachojua ni matokeo ya leo tu? Ushawahi jiuliza pesa za matangazo ya AZAM, SPORTPESA, VODACOM nk zinatumikaje? Na vipi kuhusu, MO ENERGY, SABUNI, NK? MO aeleze hizo pesa kama anatoa mfukoni kwa mapenzi ya KLABU aoneshe BANK STATEMENTS ZAKE ZA AKAUNTI YAKE BINAFSI. Hapo chini nimesema TUMIA AKILI YAKO KWA USAHIHI ili uone mantiki ya HK
 
ANOTINO ndio Mawazo yahawa jamaa,nauliza kabla MO hajawekeza Simba, Simba ilikua nahali ukilinganisha na Sasa?.
MO AMEWEKEZA WAPI MKUU? HIVI UNA AKILI WEWE? MO HAJAWEKA BIL 20 SASA AMEWEKEZA WAPI? KWANI WW UKISIKIA UWEKEZAJI UNADHANI KUAMKA TU ASUBUHI KUSEMA NIMEWEKEZA? ILI AWE MWEKEZAJI ANAPASWA KUWEKA HIZO PESA NDIO HAPO UNASEMA MWEKEZAJI ILA KAMA HAJAWEKA ANABAKIA MFADHILI.
 
Kuna watu humu washamba bado wa ngozi nyeupe..kutwa kumtetea
Mkuu mbona hao Ngozi nyeusi hawaji kuwekeza, Yanga bado wako kwenye process yakufanya transformation, tungeomba ngozi nyeusi nao wajitokeza wawekeze washindane nakina GSM&ROSTAM. Maana mnapiga kelele kuhusu MO lkn mnashindwa kutafuta mbadala wake.

Nauliza tu kabla MO hajaingia Simba, mbona timu ilishindwa kulipa hata mishahara wanachama/wadhamini hatukuwepo ili tuiendeshe kitimu kibiashara?.

Yanga wanawadhamini, gsm alitaka kujitoa kufanya mabadiliko yakimuundo Yanga, mbona Yanga walimpigia magoti ili wasaidiene kufanya mabadiliko hatimae Yanga ipate wawekezaji nasio wadhamini tu?.

Kipindi mnapiga vita MO, tunaomba mtuletee mbadala wa MO wanachama/washabiki hakuna tunachohitaji zaidi yatimu kushinda na itupe itupe furaha basi.
 
Yanga wanahao sport pesa,wana gsm(kama mdhamini akiwa),azam tv,Vodacom,Taifa gas nakila kitu anachopata Simba yanga anakipata Je kwa nn walikuwa wanatembeza bakuli?. Kwa nini wanashindwa kuendesha timu kwa faida wakalipa wachezaji mishahara?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…