MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

Punguza chuki mkuu AF pia penda kufatilia Mambo kwa Kina sio Juu kwa juu Mo alinunua viwanda vingi vya Textiles za kutengeneza vitenge na Kanga , wax kutoka serikalini Kipindi cha Ubinafsishaji na Vingi alivinunua kwa Bei chee na vingine alivipata Bure maana aliingia kama mwekezaji hadi akaja kuvipata moja kwa moja , yale mashamba ya mkonge ya serikali kule pwani na Tanga na Pale Makanya jamaa aliyapata kwa bei sawa na Bure , mo ana Kampuni ya Bima Mo assurance kumbuka taasisi za Bima ni taasisi zenye return kubwa sana kwenye investment zake na Pia mo kwa sasa wewe Unamjua tu kupitia mo energy Lakini ambacho hujui ni kuwa ana Vituo vya mafuta Star oil vingi tu, anatengeneza kila Kiti kuanzia sabuni , majani ya Chai , viberiti , mafuta ya safi hadi betri za redio zinaitwa Golden bell
 
Acha ujuaji sasa hizo star oil bakheresa zenji ana united petrolium
Sasa hivo viwanda vya kanga utapanga faida yake anayokwendq kutengeneza kwenye kiwanda cha sukari?
Hivo viberiti na mafuta utapanga na kiwanda cha ice cream na choclate?
Kuwa serious waweza miliki vitu vingi ila vya hovyo
 
Naamini Rostam Azizi ndiye Tycoon namba moja hapa nchini, hawa wengine ni Chawa tu.

Fuatilieni vizuri ukweli mtaujua.

Huyu Mwamba ni level ingine.

Hope one day nitazidi hapo alipofikia.
soma hapo[emoji116][emoji116], au gugu forbes 2022
 
Hatari
 
Wewe wakati unaangalia azam energy ndio zimuweke gsm au bakhresa wawe no moja kumbe wenzio Forbes wanajua utajiri wa mo ni zaidi hizo juice na chapati mo amewekeza hadi uarabuni na bado hujaambiwa kuhusu hisa nse
 
Bakheresa anafeli kuweka price ya vitu vyake juu kuliko wengine
Mfano kisimbuzi hataki kuendana na bei ya soko
Njoo kwenye energy drink nako hivo hivo an

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Said Salim Bakhresa amegawa utajiri wake kwa watoto wake, Azam tv ya yusuf sio said
 
Mo kawekeza mabiashara yenye kuleta pesa nyingi kuliko SSB. Azam anasubiri sana kwa METL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…