MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

Acha porojo wewe na hivyo vi-concept vyako vya shule...

Hoja yako ni hii hapa chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Taja hizo "kampuni nyingi sana" na hizo "biashara mbalimbali!!
Hizo concept ndo zinazotumika kujua utajiri wa mtu, kupitia hizo concepts ndio tunapata orodha ya watu matajiri zaidi duniani.
 
Hizo concept ndo zinazotumika kujua utajiri wa mtu, kupitia hizo concepts ndio tunapata orodha ya watu matajiri zaidi duniani.
Hoja yako ilihusisha hizo concept au ulitaja kampuni na biashara?!

Anyway, kwavile umeshindwa kutaja hizo kampuni ingawaje ni wewe mwenyewe ndie ulileta habari za kampuni, tuwekee basi hiyo consolidated balance sheet tuone hayo unayosema!!
 
Acha porojo wewe na hivyo vi-concept vyako vya shule...

Hoja yako ni hii hapa chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Taja hizo "kampuni nyingi sana" na hizo "biashara mbalimbali!!
Huwezi kumfananisha Mo na Bakhressa. Mo yuko kila mahala. Tofauti yao ni kuwa makampuni ya Bakhressa yanatumia majina yanayohusiana wakati ya Mo mengine majina hayafahamiki.
 
Ulitaja concept au ulitaja kampuni na biashara?!

Anyway, kwavile ujuaji mwingi na umeshindwa kutaja hizo kampuni ingawaje ni wewe mwenyewe ndie ulileta habari za kampuni, tuwekee basi hiyo consolidated balance sheet tuone hayo unayosema!!
Issue ilikuwa ni ndogo kuingia kwenye hiyo official website. Halafu hii orodha inatolewa na forbes mkuu. Nenda ukatembelee website yao forbes uwakosoe nenda na hiyo orodha ya biashara anazofanya mzee Said Salim Bakhresa uwakosoe kwa kulinganisha na za Mo
 
Huwezi kumfananisha Mo na Bakhressa. Mo yuko kila mahala. Tofauti yao ni kuwa makampuni ya Bakhressa yanatumia majina yanayohusiana wakati ya Mo mengine majina hayafahamiki.
Yaani Mo yupo kila mahala kumzidi Bakhersa?! Huko ambako kila mahali Mo yupo na Bakhresa hayupo ni wapi?! Kwenye kutengeneza vitenge na sabuni?!

Asilimia kubwa ya biashara za Mo ni zile ambazo Bakhera alishakuwa nazo tangu zamani kabla yake kwa sababu, originally METL ilijikita kwenye agricultural commodity trading.

Baada ya Mkapa kuanza kuuza mashirika ya umma, Mo Family ndo ikaingia na upande mwingine wa biashara ambao Bakhera tayari alishakuwepo kitambo!!
 
Kwa
Yaani Mo yupo kila mahala kumzidi Bakhersa?! Huko ambako kila mahali Mo yupo na Bakhresa hayupo ni wapi?! Kwenye kutengeneza vitenge na sabuni?!

Asilimia kubwa ya biashara za Mo ni zile ambazo Bakhera alishakuwa nazo tangu zamani kabla yake kwa sababu, originally METL ilijikita kwenye agricultural commodity trading.

Baada ya Mkapa kuanza kuuza mashirika ya umma, Mo Family ndo ikaingia na upande mwingine wa biashara ambao Bakhera tayari alishakuwepo kitambo!!
Kwani bwana Chige wewe shida yako ni nini yaani ni kwamba unaona Mo anapendelewa au?
 
Issue ilikuwa ni ndogo kuingia kwenye hiyo official website. Halafu hii orodha inatolewa na forbes mkuu. Nenda ukatembelee website yao forbes uwakosoe nenda na hiyo orodha ya biashara anazofanya mzee Said Salim Bakhresa uwakosoe kwa kulinganisha na za Mo
In short umeshindwa ku-defend hoja yako!

Hivi kwa ufahamu wako unaamini kabisa kwamba sifahamu nini kilichomo kwenye hiyo website?! Ni wewe unayedai Mo ana maviwanda mengi ndie unatakiwa kuingia huko na kuweka hapa!

Kwavile naamini Bakhresa yupo juu ya Mo, ndo maana nikaweka hizo kampuni za Bakheresa!!
 
In short umeshindwa ku-defend hoja yako!

Hivi kwa ufahamu wako unaamini kabisa kwamba sifahamu nini kilichomo kwenye hiyo website?! Ni wewe unayedai Mo ana maviwanda mengi ndie unatakiwa kuingia huko na kuweka hapa!

Kwavile naamini Bakhresa yupo juu ya Mo, ndo maana nikaweka hizo kampuni za Bakheresa!!
Basi tengeneza orodha yako mkuu ya watu matajiri tuwe tunaifuta badala ya hii inayotumiwa duniani kote inayoandaliwa na watu wenye taaluma ya net worth
 
Kwa

Kwani bwana Chige wewe shida yako ni nini yaani ni kwamba unaona Mo anapendelewa au?
Unakata ukweli?!

Ni Forbes ndio huwa wanatuambia kwamba Mo ndie Richest Person in Tanzania.

Kama umewahi kufuatilia orodha zinazotolewa na Forbes, huko nyuma imeshawahi kutokea watu kufoji financial statement ili mradi watokee tu kwenye list ya Forbes!

Tukio la miaka ya karibuni kabisa lilimshusisha Kylie Jenner ambae walimtangaza kwamba ni Billionaire lakini baadae wakagundua kwamba:-
Forbes.png

Forbes hatimae wakatujuza kwamba:-
Earlier this year, Kylie Jenner sold half of her cosmetics company in one of the greatest celebrity cash-outs of all time. But the dealโ€™s fine print reveals that she has been inflating the size and success of her business. For years.
Bado nalikumbuka povu la Kylie kule twitter!!

Sasa Mo na mwenyewe alivyo mtu wa kupenda hype...

Itoshe tu kusema Mo ndo Billionea pekee Tanzania anayependa kurudia kusema again and again kuhusu utajiri wake, na mara nyingi anapenda kutumia reference kutoka Forbes!!
 
Basi tengeneza orodha yako mkuu ya watu matajiri tuwe tunaifuta badala ya hii inayotumiwa duniani kote inayoandaliwa na watu wenye taaluma ya net worth
Nitengeneze tena?! Si umesema kwenye website yake kuna kumetajwa hizo kampuni zake nyingi?!
 
Unakata ukweli?!

Ni Forbes ndio huwa wanatuambia kwamba Mo ndie Richest Person in Tanzania.

Kama umewahi kufuatilia orodha zinazotolewa na Forbes, huko nyuma imeshawahi kutokea watu kufoji financial statement ili mradi watokee tu kwenye list ya Forbes!

Tukio la miaka ya karibuni kabisa lilimshusisha Kylie Jenner ambae walimtangaza kwamba ni Billionaire lakini baadae wakagundua kwamba:-
View attachment 2422436
Forbes hatimae wakatujuza kwamba:-

Bado nalikumbuka povu la Kylie kule twitter!!

Sasa Mo na mwenyewe alivyo mtu wa kupenda hype...

Itoshe tu kusema Mo ndo Billionea pekee Tanzania anayependa kurudia kusema again and again kuhusu utajiri wake, na mara nyingi anapenda kutumia reference kutoka Forbes!!
Basi tufanye Bakhresa ni tajiri zaidi ya Mo
 
Nimesalimu amri kaka Said Salim Bakhresa ni tajiri zaidi ya Mohammed Dewji (Mo)
Again let's keep records straight....

Huwa tunarahaisha kazi tu kusema Bakhresa vs Mo lakini ukweli ni kwamba, METL sio ya Mo bali ya Mzee Ghullum Dewj babake na Mo!!

It's a family business and not Mo's!

Hata hivyo, siwezi kujitia upofu wa kutoona mchango mkubwa wa Mo ndani ya METL kwa sababu, kama nilivyosema hapo kabla, originally METL ilijikita sana kwenye commodity trading, na Mo ndo akafanya reform na kuifikisha hapo ilipo!

So, kama ni kulinganisha, basi Mo afananishwe na akina Abou na sio Bakhresa!
 
Back
Top Bottom