MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

Hata mimi nimefikiria sana jana, hivi kwa uwekezaji wa Bakhressa kwenye Fumba Estate, MO anamuweza kweli?
 
Huyu jamaa utajiri wake wa magumashi na kiwanda cha juice eti ndiyo tajiri namba moja. Ukija kwa Bakhressa ana meli, ngano, soda, kiwanda cha sukari chenye thamani ya bilioni 600, Azam TV na Azam Pesa.

Rostam Aziz anayemiliki kampuni ya ndege, caspian, Tigo Tanzania, Taifa gas, inakuwaje tunaambiwa huyu mbabaishaji eti ndiyo tajiri wa Tanzania? Ama anafanya ubabaifu aonekane hivo?
Mo Ana viwanda vingi na anatengenza bidhaa nyingi kuliko matajiri wote Tanzania
 
Kitu ambacho Bakhresa kamzidi MO ni ubora wa bidhaa (quality) kwa hapo Azam hana mpinzani. Tukilinganisha ubora wa bidhaa ambazo wote wanatengeneza mfano unga wa ngano wa Azam na Safi/Mo, unga wa Azam ni bora zaidi ya Safi/Mo

Ila kwa upande wa mkwanja Mo kamzidi Bakhresa hatuhitaji hata mjadala kwenye hilo
Aanzeshe nae team asidandie SIMBA
 
Punguza chuki mkuu AF pia penda kufatilia Mambo kwa Kina sio Juu kwa juu Mo alinunua viwanda vingi vya Textiles za kutengeneza vitenge na Kanga , wax kutoka serikalini Kipindi cha Ubinafsishaji na Vingi alivinunua kwa Bei chee na vingine alivipata Bure maana aliingia kama mwekezaji hadi akaja kuvipata moja kwa moja , yale mashamba ya mkonge ya serikali kule pwani na Tanga na Pale Makanya jamaa aliyapata kwa bei sawa na Bure , mo ana Kampuni ya Bima Mo assurance kumbuka taasisi za Bima ni taasisi zenye return kubwa sana kwenye investment zake na Pia mo kwa sasa wewe Unamjua tu kupitia mo energy Lakini ambacho hujui ni kuwa ana Vituo vya mafuta Star oil vingi tu, anatengeneza kila Kiti kuanzia sabuni , majani ya Chai , viberiti , mafuta ya safi hadi betri za redio zinaitwa Golden bell
AANZISHE NAE TV unavyo vitaja vyote bhakharesa anavyo
 
Wewe wakati unaangalia azam energy ndio zimuweke gsm au bakhresa wawe no moja kumbe wenzio Forbes wanajua utajiri wa mo ni zaidi hizo juice na chapati mo amewekeza hadi uarabuni na bado hujaambiwa kuhusu hisa nse
AZAM FC tu ni pigo takatifu kwa MO

Kama anapesa aanzishe team nae tuone

Sio anaanzisha ujinga wa Mo boxing

Then anamlipa bhakharesa pesa ya coverage
 
AZAM FC tu ni pigo takatifu kwa MO

Kama anapesa aanzishe team nae tuone

Sio anaanzisha ujinga wa Mo boxing

Then anamlipa bhakharesa pesa ya coverage
Siyo lazima kila tajiri afanye anachofanya tajiri mwenzake. Unaweza uka base kwenye industries kadhaa ukatoboa. Mwenzako aka base kwenye nyinginezo naye akatoboa.

Kwa vile Mo hana Tv station basi hiyo ni udhaifu kwake..au kwa vile hana club ya mpira basi hana pesa. Thinking ya ajabu sana hii.

So ili Mo athibitishe kuwa na hela si lazima aanzishe timu na ifanikiwe. Kina GSM na MEtl wanazitumia simba na Yanga kama marketing platforms.

Mfano, uwekezaji wa Mo tu hapo Simba si umewaletea mafanikio, Club haijaenda mbali huko CAF? Kumbuka kuanzisha club ya mpira ni sawa na biashara nyinginezo tu.

Ninachokiona kwako ni kuwa umejiandaa vilivyo kumpinga Mo...So hata ukishawishiwa vipi hauwezi kukubali kuwa jamaa ana ukwasi wa kutosha kuliko hao anaolinganishwa nao.
 
Siyo lazima kila tajiri afanye anachofanya tajiri mwenzake. Unaweza uka base kwenye industries kadhaa ukatoboa. Mwenzako aka base kwenye nyinginezo naye akatoboa.

Kwa vile Mo hana Tv station basi hiyo ni udhaifu kwake..au kwa vile hana club ya mpira basi hana pesa. Thinking ya ajabu sana hii.

So ili Mo athibitishe kuwa na hela si lazima aanzishe timu na ifanikiwe. Kina GSM na MEtl wanazitumia simba na Yanga kama marketing platforms.

Mfano, uwekezaji wa Mo tu hapo Simba si umewaletea mafanikio, Club haijaenda mbali huko CAF? Kumbuka kuanzisha club ya mpira ni sawa na biashara nyinginezo tu.

Ninachokiona kwako ni kuwa umejiandaa vilivyo kumpinga Mo...So hata ukishawishiwa vipi hauwezi kukubali kuwa jamaa ana ukwasi wa kutosha kuliko hao anaolinganishwa nao.
Unaongea ujinga mkuu
 
Mo ana kampuni nyingi sana na biashara mbalimbali sema wabongo wengi hatufuatili tunachojua sisi ni Mo energy tu, huyu jamaa kuwa namba 1 Afrika Mashariki ni sawa

Mnaobisha nendeni mkaingie official website ya METL ndo mtajua hamjui
Si unamaanisha kama hivi hapa chini, ama?

Azam.png

Halafu pia tutaje kampuni tanzu za Mo, si ndiyo?!

Hofu yangu isije ikawa badala ya kutaja kampuni tukawa tunaishia kutaja bidhaa!!
 
Mo Ana viwanda vingi na anatengenza bidhaa nyingi kuliko matajiri wote Tanzania
Vya Bakhresa hivi hapa chini, naomba msaada kuhusu vya Mo...
Azam.png


Kama unamaanisha ndie mtengeneza sabuni nyingi zaidi Tanzania, basi sawa!!
 
Vya Bakhresa hivi hapa chini, naomba msaada kuhusu vya Mo...
View attachment 2422368

Kama unamaanisha ndie mtengeneza sabuni nyingi zaidi Tanzania, basi sawa!!
Nimeona kuna shida kwako unapaswa kwanza ujifunze na uzielewe concept kuhusu net worth, assets na liabilities ungekuwa na uelewa na hizo concept hata usingepata shida kuelewa
 
Nimeona kuna shida kwako unapaswa kwanza ujifunze na uzielewe concept kuhusu net worth, assets na liabilities ungekuwa na uelewa na hizo concept hata usingepata shida kuelewa
Acha porojo wewe na hivyo vi-concept vyako vya shule...

Hoja yako ni hii hapa chini 👇👇👇
Mo ana kampuni nyingi sana na biashara mbalimbali sema wabongo wengi hatufuatili tunachojua sisi ni Mo energy tu, huyu jamaa kuwa namba 1 Afrika Mashariki ni sawa

Mnaobisha nendeni mkaingie official website ya METL ndo mtajua hamjui
Taja hizo "kampuni nyingi sana" na hizo "biashara mbalimbali!!
 
Back
Top Bottom