Benno Bongo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 620
- 704
Anaingiza anatengeneza yeye au ni wakala tu?Hapa kwny pikipiki ndio kaua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaingiza anatengeneza yeye au ni wakala tu?Hapa kwny pikipiki ndio kaua
Huyu GSM pamoja na mbwembwe nyingi hamfikii hata kidogo dogo wa Lake GroupBasi tufanye GSM amewazidi wote.
Tajiri sio nchi nzima ni anautajiri kwa vijana wote hapa tz hakuna kijana anayemfukuzia kwa hela.Huyu jamaa utajiri wake wa magumashi na kiwanda cha juice eti ndo tajiri namba moja
Ukija kwa bakhressa
Ana meli, ngano soda kiwanda cha sukari chenyd thamani ya 600 bilions
Azam tv azam pesa
Rostam aziz anayemiliki kampuni ya ndege,caspian tigo Tanzania Taifa gas inakuwaje tunaambiwa huyu mbabaishaji eti ndo tajiri wa tz ama anafanya ubabaifu aonekane hivo
hapo roho yake kwatu.....haya yote kayasababisha al hilal kwa kuizuia yanga isifuzu hatua ya makundi.Basi tufanye GSM amewazidi wote.
Get your facts straight..MO ni the wealthiest person hapa Tz na East Africa. Hakuna hizo categorization kwa hapa Tz kuwa ni tajiri wa kwa vijana tu.Tajiri sio nchi nzima ni anautajiri kwa vijana wote hapa tz hakuna kijana anayemfukuzia kwa hela .
Forbes wanachekecha halafu wanasema kimadaraja sasa modewji ni tajiri kijana tz na ni 5 kijana tajiri afrika hawajasema kuwa ni tajiri tz kwa wote
Kweli wewe mtukwa🤣 akili za chapu big up ni kweli kabisa tulikuwa tunachangia upupu hii coment ni nzuri sana inaleta maana yanga waitwe tu kituo cha polisi wachapwe vizuri akili ipande kichwanihapo roho yake kwatu.....haya yote kayasababisha al hilal kwa kuizuia yanga isifuzu hatua ya makundi.
![]()
Soma tena comment yangu ya piliGet your facts straight..MO ni the wealthiest person hapa Tz na East Africa. Hakuna hizo categorization kwa hapa Tz kuwa ni tajiri wa kwa vijana tu...Kaangilie portfolio ya makampuni yaliyo chini ya METL..more than 40 companies and counting. Mo ni majority shareholder METL.
Sawa.Soma tena comment yangu ya pili
Kampuni zakw kama ya mafuta ya kura sijui kushona nguo ja vitenge waweza pnga na kampuni za bakhressa kweli ama usaniiGet your facts straight..MO ni the wealthiest person hapa Tz na East Africa. Hakuna hizo categorization kwa hapa Tz kuwa ni tajiri wa kwa vijana tu...Kaangilie portfolio ya makampuni yaliyo chini ya METL..more than 40 companies and counting. Mo ni majority shareholder wa METL.
Ungekuwa na hela usingepita hapa ushuzi wewTafuta Hela ili uache kuwajadili matajiri.
Nimepita ili kukusoma wewe Kapuku.Ungekuwa na hela usingepita hapa ushuzi wew