MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

Tajiri sio nchi nzima ni anautajiri kwa vijana wote hapa tz hakuna kijana anayemfukuzia kwa hela.

Forbes wanachekecha halafu wanasema kimadaraja sasa modewji ni tajiri kijana tz na ni 5 kijana tajiri afrika hawajasema kuwa ni tajiri tz kwa wote
 
Tajiri sio nchi nzima ni anautajiri kwa vijana wote hapa tz hakuna kijana anayemfukuzia kwa hela .
Forbes wanachekecha halafu wanasema kimadaraja sasa modewji ni tajiri kijana tz na ni 5 kijana tajiri afrika hawajasema kuwa ni tajiri tz kwa wote
Get your facts straight..MO ni the wealthiest person hapa Tz na East Africa. Hakuna hizo categorization kwa hapa Tz kuwa ni tajiri wa kwa vijana tu.

Kaangilie portfolio ya makampuni yaliyo chini ya METL..more than 40 companies and counting. Mo ni majority shareholder wa METL.
 
hapo roho yake kwatu.....haya yote kayasababisha al hilal kwa kuizuia yanga isifuzu hatua ya makundi.
Kweli wewe mtukwa🤣 akili za chapu big up ni kweli kabisa tulikuwa tunachangia upupu hii coment ni nzuri sana inaleta maana yanga waitwe tu kituo cha polisi wachapwe vizuri akili ipande kichwani
 
Soma tena comment yangu ya pili
 
Kampuni zakw kama ya mafuta ya kura sijui kushona nguo ja vitenge waweza pnga na kampuni za bakhressa kweli ama usanii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…