aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
- Thread starter
- #141
Mo ansema anakampuni ya simu ndo super dealer wa vodacom ila iyo kampuni ya zephona imeshakufa toka 2008 ila anahesabu ni kampuni ipoMeTL Group – The People's Brand
www.metl.net
Hapa JF ukitaka kununua hata bajaji tu utaambiwa ili faida ionekane itabidi uendeshe mwenyewe.
Check utitiri wa biashara za hao jamaa halafu Mo ana hadi ratiba ya kwenda gym na yupo TikTok!