UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Sijazungumzia uhalali hapa bali nimekumbusha kwamba hayo mambo yalikuwepo na bado yapo.Kwa hiyo kwa sababu ulimboka alitekwa kwa hiyo kuteka na kuua halali?
Una akili za kutosha kisoda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijazungumzia uhalali hapa bali nimekumbusha kwamba hayo mambo yalikuwepo na bado yapo.Kwa hiyo kwa sababu ulimboka alitekwa kwa hiyo kuteka na kuua halali?
Una akili za kutosha kisoda
Bado yapo? Nani katekwa kwa amri ya SamiaSijazungumzia uhalali hapa bali nimekumbusha kwamba hayo mambo yalikuwepo na bado yapo.
Hata wale wa kujiteka wenyewe kwenye kipindi hiki cha mama mimi bado sijawasikiaBado yapo? Nani katekwa kwa amri ya Samia
Unategemea Samia mwenyewe atangaze kuwa ametoa amri ya kutekwa mtu au kwamba serikali ndio itangaze hivyo? Hata issue ya Ulimboka haikutangazwa kwamba Kikwete ndio alitoa ile amri ya kutekwa Ulimboka.Bado yapo? Nani katekwa kwa amri ya Samia