Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwa hiyo dikteta Putin ndio anahalalisha ukandamizaji kila mahali hata hapa kwetu??
Hv ww ungekuwa na Raisi kama Putin ungemuita nani?
Eti shetani!!?? Yupi kweli wtz ni mayai mayai softi softi.
Nenda Kongo huko utakuta watu na nusu