Mo Dewji ataje waliomteka na makubaliano waliyofikia kabla hawajamuachia

Mo Dewji ataje waliomteka na makubaliano waliyofikia kabla hawajamuachia

Ni miaka 4 sasa toka MoDewji alipoachiliwa baada ya kutekwa kwa siku kadhaa na WATU WASIOJULIKANA.

Ule utawala wa Shetani wa Chato haupo tena, MoDewji ni wakati mwafaka sasa akafunguka yote namna alivyotekwa, watekaji wake na makubaliano yaliyopelekea yeye kuachiwa na kutupwa pale Gymkhana.

View attachment 2392595
Ila mwendawazimu ile alikuwa na serious mental disorder , Yule alikuwa psychopath mbaya kabisa , yaani Mo akarudishwa gymkhana kavalishwa kanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu Marehemu mlinda legasi aka Rais jiwe maiti yake ifukuliwe ichapwe viboko aisee
 
Hv ww ungekuwa na Raisi kama Putin ungemuita nani!!??
Eti shetani!!?? Yupi kweli wtz ni mayai mayai softi softi.....
Nenda Kongo huko utakuta watu na nusu
Kwa hiyo mnataka watu waendelee kukubaliana na huyo mwendawazimu ibilisi makufuli ? , Kwanza ni wastage of tax payers money kujenga makumbudho na sanamu za ibilisi fedhuli hasidi mwanahizaya kama Yule
 
Kwani jpm alikua sio sehemu ya deepstate au alifanya mambo yake nje ya deepstate, Raisi hawezi kufanya jambo bila kushauriwa na deepstate
Hakuna cha deep state wala ujinga gani sijui ,Tz inaongozwa na genge la CCM ,whomever anayechukua urais ndio mfalme WA lile genge hata zile death squads na rogue elements ni watu wanaojulikana na wengi ni uvccm wakishirikiana na vibaka toka polisi na TISS , wajinga ndio wanaamini huo upuuz WA deep state , Yule mfalme jiwe na genge lake la uvccm walioingizwa na bashite ,sabaya ,heri James na mapimbi wengine toka sukuma gang ndio waliohusika na kila uhuni uliokuwa unafanyika , refer kauli ya Yule mpwa WA magufuli heri James .
 
Hii tabia ya kutekana huko CCM ni jadi yao, iko kwenye DNA yao, japo Magufuli alizidisha, lakini hata Ulimboka nae alitekwa akapigwa, sasa kama Mo nae ni CCM, sidhani kama anaweza kuendelea kupiga kelele kuhusu hili suala, kusudi asikichafue chama chake.

Bado anakitegemea chama kwa ajili ya uhai wa biashara zake.
 
Alitekwa na system sio individual lazima mjue mambo mengine sio ya kusema sema hi ni nchi in deepstate
Una uhakika gani katika hili? Mimi siamini kama mtu mkubwa namna hii anaweza kutekwa na system kwa sababu hata yeye pia lazima tu ni sehemu ya hiyo sytem; system haiwezi kujiteka yenyewe.
Mimi kwa sasa hivi naamini kuwa waliofanya hivyo watakuwa ni mamluki wale ambao walikuwa wanafanya kazi kinyume na Serikali ya JPM
 
Kama Deep state zina operate kuzembe namna Ile basi Tanzania ilikuwa nchi ya hovyo kuliko hata Burkina Faso. Ile ilikuwa ni rogue unit within the system ambayo ilikuwa inawajibika kwa Magufuli Moja kwa Moja
Umeongea vizuri ila Magufuli inabidi sasa umwondoe kwenye kundi hili kwa sababu ukiangalia vizuri MOTIVE ya kundi ilikuwa ni kuangusha Serikali ya JPM na walifanikiwa
 
[emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383] [emoji384] [emoji383]
 
Nenda wewe Congo tuondolee ujinga wako hapa. Kwani lazima tuigane UHAYAWANI? Ndiyo maana dubwasha lenu lilikufa mwaka jana kwa kutaka kuiga mambo ya Rwanda ya kutekana na kuuana. Sasa Tanzania ni mahali pemanpa kuishi bila Magufuli
Umevurugwa ww usigombane na viongozi waliopita jenga uchumi wa familia yako upunguze stress
 
Mo hawezi kuwataja maana walimvua nguo wakamvalisha kanga sasa huwezi jua baada ya kumvisha kanga walimfanya nini, siri zingine unakufa nazo mwenyewe
 
Una uhakika gani katika hili? Mimi siamini kama mtu mkubwa namna hii anaweza kutekwa na system kwa sababu hata yeye pia lazima tu ni sehemu ya hiyo sytem; system haiwezi kujiteka yenyewe.
Mimi kwa sasa hivi naamini kuwa waliofanya hivyo watakuwa ni mamluki wale ambao walikuwa wanafanya kazi kinyume na Serikali ya JPM
Deepstate inakua na watu wasio zidi watano, huyu Mo hawezi kua kwenye system ya deepstate hata kuisogelea
 
JPM kagoma kufa bado yupo sana mioyoni mwa wa-TZ na bado endelea kuteseka naye hadi siku utayokufa wewe ndipo naye atakufa [emoji1787].

Vyeti vyako feki, madawa ya kulevya hadi ufe kwa kansa, vidonda vya tumbo, presha na stroke vitakuua ukituachia PISI KALI wako tukimtafuna kiufundi haswa huku akipigwa makofi kukutukana matusi yooote [emoji28]
hahaha sina vyeti feki ndugu yangu nilisoma mpaka nikachoka mie wala sina historia ya kufeli achiliambali ku sup/rudia mitihani . sijui wewe?
 
Ila mwendawazimu ile alikuwa na serious mental disorder , Yule alikuwa psychopath mbaya kabisa , yaani Mo akarudishwa gymkhana kavalishwa kanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu Marehemu mlinda legasi aka Rais jiwe maiti yake ifukuliwe ichapwe viboko aisee
Kwanini Mo na si Bakhresa?
 
Wewe jamaa punguani kweli. magufuli alijiharibia mwenyewe kimataifa kwa ushamba wake akifikiri angeweza kwenda kinyume na dunia akaishia kufa kifo cha covd 19 aliyodanganya dunia kwamba ipo kwenye mapapai
hahahaha..... hao chadema wamteke mo ili iweje? wana jesh?

ipo siku bi mkubwa wako atapata ujauzito nje ya ndoa utawasingizia chadema wewe
Makamba ni wazir wa nishati sasaivi
kama vipi kalifufeni lile dubwasha lenu kule chato.... liliteka watu ili liwapore pesa zao kisha likadanganya ati mapato yanaongezeka
mungu fuuuundi
asante mungu kutuondolea uzia tz
utafiti hupingwa kwa utafiti ndugu. Zamu yake mbona ilikwisha tayari mkuu.
 
JPM kagoma kufa bado yupo sana mioyoni mwa wa-TZ na bado endelea kuteseka naye hadi siku utayokufa wewe ndipo naye atakufa [emoji1787].

Vyeti vyako feki, madawa ya kulevya hadi ufe kwa kansa, vidonda vya tumbo, presha na stroke vitakuua ukituachia PISI KALI wako tukimtafuna kiufundi haswa huku akipigwa makofi kukutukana matusi yooote [emoji28]
elimu duni ndiyo shida hapa.... kwamba kila anayetoa maoni tofauti basi alifukuzwa kwa vyeti feki? kama alikuwa anapendwa hivyo kwanini basi KURA 2020 Zilipigwa nje ya vituo siku mbili kabla ya zoezi na kuingizwa kwa sandarusi ?
kama kufeli ulifeli wewe mkuu binafsi sina vyeti feki wala siuzi dawa za kulevya
ni muumini wa utawala wa sheria, haki na demekrasia ya kweli. SIAMINI KWENYE CHUKI, UONGO NAGHIRBA
 
Chadema walimteka Mo na kumpiga Lisu ili kumharibia Magufuli kimataifa lakini ndiyo kwanza akapaa kimataifa hadi umoja wa mataifa wakalilia kifo chake
Basi chadema wako vizuri kiintelijnsiana mikakati,wapewe tu nchi kama wamewwza hayo yote
 
Back
Top Bottom