Ila mwendawazimu ile alikuwa na serious mental disorder , Yule alikuwa psychopath mbaya kabisa , yaani Mo akarudishwa gymkhana kavalishwa kanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni miaka 4 sasa toka MoDewji alipoachiliwa baada ya kutekwa kwa siku kadhaa na WATU WASIOJULIKANA.
Ule utawala wa Shetani wa Chato haupo tena, MoDewji ni wakati mwafaka sasa akafunguka yote namna alivyotekwa, watekaji wake na makubaliano yaliyopelekea yeye kuachiwa na kutupwa pale Gymkhana.
View attachment 2392595
Huyu Marehemu mlinda legasi aka Rais jiwe maiti yake ifukuliwe ichapwe viboko aisee