Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Mudi mjanjamjanja alikua boss Singida united akachemsha, akawa boss African lion akachemsha kwa sasa yupo umbumbuni napo atachemsha. Ni mudi uyu uyu hajabadilika ni swala la muda tu kabla ajaondoka na baadae kurudi na timu nyingine.
Hata ukifika Muda huo, basi yanga ishakuwa kama Ndanda tu.