Mo Dewji aweka wazi sababu za CEO Senzo kukimbia

Mo Dewji aweka wazi sababu za CEO Senzo kukimbia

Kuna vitu watu hawaelewi wengi hawana elimu ya uwekezaji bahati mbaya mfumo wa vilabu vyetu umeruhusu wajanja kuwa na sauti.
Kabla ya Simba kuingia kwenye mfumo wa hisa ilitakiwa ije kampuni ya uhasibu itathimini thamani yake. Thamani ya timu sio majengo tu bali ni pamoja na fanbase.
Kitu ambacho Simba hawajui mo anaitaka simba kuliko simba inavyomtaka mo rejea alipotishia kujitoa na kudai anatumia pesa nyingi hakuna mwanasimba aliyembembeleza badala yake Raga na Kigwangala walimhoji aseme hizo pesa zinatoka mfukoni mwake au ni sehemu ya uwekezaji.
Alianza kuikopesha simba pesa kabla uwekezaji haujaanza lakini simba ilipoingia mkataba na sportpesa alikuja juu.
Kama simba ingetulia hizo hisa zingeuzwa kwa bei kubwa simba mpaka sasa hivi haijitegemei kitu ambacho ni hatari kwa mustakabali wake hata mipango yake ni vichekesho huwezi kumtoza shabiki pesa ila unaweza kumuuzia shabiki bidhaa za timu. Hata mapato ya jezi hayaeleweki pamoja na kwamba kuna mkataba jezi zinatakiwa ziuzwe maduka maalumu lakini ukienda taifa jezi zinasambazwa chini au hata klabuni unaona zimetundikwa jezi feki.
Lakini yote yanafanyika sababu ya kukosa uongozi makini.
Huyo Rage aliifikisha wapi Simba kimapato si amewahi kuwa Kiongozi simba.

Huyo kigwangala ameifikisha wapi simba.


Hivi unajua kabla ya MO kuwa muwekezaji Simba ilikuwa hovyo kimapato Kama Mbao FC ndio sababu ya Kile kikosi Cha wakina Ajibu , Ndemla kupandishwa kuja kucheza timu ya wakubwa na timu ilikuwa haina hela kununua hata wachesaji. Ndio msimu ambao Azam ilitoa hata wachesaji wao kuja Simba kwa mkopo kuokoa jahazi (Kimwaga alipelekwa Simba kwa mkopo). Hali ilikuwa mbaya msimbazi. Hao wakina Rage na wewe kilaza hatukuwahi kuwaona mkipeleka hata mabakuli ya chakula kuwapa wachezaji.

Mtu aliefuatwa kupigiwa magoti alikuwa MO dewiji ndio alikuja kuokoa jahazi na akaanza kulipa mishahara na usajili wake wa kwanza kufanya akamleta MAVUGO. Nyie mnapiga kelele mitandaoni ndio mnachoweza ila hata laki 1 mifukoni hamna.

Hata marehemu mzee Yahaya Akilimali alikuwa anaweza kuchapa Domo lake na kumuita Yousuph Manji ni mwizi pale yanga ila baaada ya manji kujitoa hakuwaji kutoa hata 50,000 kulipia mishahara wachezaji. Yanga ilifikia hatua inachangiwa hela na mashabiki tena kwa kutembeza bakuli uwanjani. Ilifikia hatua Mwinyi zahera anatoa hela Yake bank analipa wachezaji mishahara ( Uliza watu upewe taarifa ).


Hizi taarifa eti Simba au yanga kuwa na thamani hizo mnazozitaja kila siku na kuona MO na GSM wananufaika Ni Nyie mashabiki uchwara ndio mna hizo fikra.
 
Utopolo wanachekesha sana. Hivi wenzetu wana feli wapi?
IMG-20200820-WA0019.jpg
IMG-20200820-WA0025.jpg
 
Huyo Rage aliifikisha wapi Simba kimapato si amewahi kuwa Kiongozi simba.

Huyo kigwangala ameifikisha wapi simba.


Hivi unajua kabla ya MO kuwa muwekezaji Simba ilikuwa hovyo kimapato Kama Mbao FC ndio sababu ya Kile kikosi Cha wakina Ajibu , Ndemla kupandishwa kuja kucheza timu ya wakubwa na timu ilikuwa haina hela kununua hata wachesaji. Ndio msimu ambao Azam ilitoa hata wachesaji wao kuja Simba kwa mkopo kuokoa jahazi (Kimwaga alipelekwa Simba kwa mkopo). Hali ilikuwa mbaya msimbazi. Hao wakina Rage na wewe kilaza hatukuwahi kuwaona mkipeleka hata mabakuli ya chakula kuwapa wachezaji.

Mtu aliefuatwa kupigiwa magoti alikuwa MO dewiji ndio alikuja kuokoa jahazi na akaanza kulipa mishahara na usajili wake wa kwanza kufanya akamleta MAVUGO. Nyie mnapiga kelele mitandaoni ndio mnachoweza ila hata laki 1 mifukoni hamna.

Hata marehemu mzee Yahaya Akilimali alikuwa anaweza kuchapa Domo lake na kumuita Yousuph Manji ni mwizi pale yanga ila baaada ya manji kujitoa hakuwaji kutoa hata 50,000 kulipia mishahara wachezaji. Yanga ilifikia hatua inachangiwa hela na mashabiki tena kwa kutembeza bakuli uwanjani. Ilifikia hatua Mwinyi zahera anatoa hela Yake bank analipa wachezaji mishahara ( Uliza watu upewe taarifa ).


Hizi taarifa eti Simba au yanga kuwa na thamani hizo mnazozitaja kila siku na kuona MO na GSM wananufaika Ni Nyie mashabiki uchwara ndio mna hizo fikra.
Kilaza ni wewe unayefikiria kwa makalio tatizo sio uwekezaji bali zoezi la uwekezaji lilivyoendeshwa hivi unajua kuna mtu alitaka kutoa bilioni 50 na kujenga uwanja kwa hisa hizohizo au unaishi kwa kukariri
 
Simba Wana hisa asilimia 51, na Nyie wekeni mezani mzigo wemu.


Sio mnataka mwenye Hisa 49% aweke pesa peke yake.


We ulisikia wapi
No, biashara haifanywi hivyo.
Umenikuta nina kbanda cha Tigopesa barabarani mbagala zhakeem. Unataka tuwe wabia, mtaji wangu na kodi jumla yake ni milioni 5.
Nikakwambia ukitaka ubia 49% nakuuzia 15mil...
Wewe ukasema sawa, ila hizi milioni 15 ngoja niweke benki nitakuwa nalipa kodi ya kibanda na luku. Nikiulizia ile milioni 15 kwanini uweki kwenye capital account ya kibanda chetu, unasema tulia, unajua mimi ndio nalipa kodi?
That's nonsense!

Pamoja na kuwa thamani ya mtaji wangu ni milioni 5, bado nina wateja ambao ni wa mara kwa mara na wana akaunti CRDB, wateja wangu wa kila siku wengi wao wana dstv, wanapikia gesi etc ...
Kwa hiyo soko la wakala wa CRDB, Taifa gas na dstv wateja kama 1000 hivi. Hii goodwill ina thamani kubwa na ni asset ambayo aidha naweza kuombea mkopo au kukaribisha ubia lakini lazima kipengele hiki nikihesabu kam thamani ya mtaji wangu apart from fedha taslimu na mali zingine zisizohamishika.
Hiki ndicho hasa ninachokuuzia.
 
No, biashara haifanywi hivyo.
Umenikuta nina kbanda cha Tigopesa barabarani mbagala zhakeem. Unataka tuwe wabia, mtaji wangu na kodi jumla yake ni milioni 5.
Nikakwambia ukitaka ubia 49% nakuuzia 15mil...
Wewe ukasema sawa, ila hizi milioni 15 ngoja niweke benki nitakuwa nalipa kodi ya kibanda na luku. Nikiulizia ile milioni 15 kwanini uweki kwenye capital account ya kibanda chetu, unasema tulia, unajua mimi ndio nalipa kodi?
That's nonsense!

Pamoja na kuwa thamani ya mtaji wangu ni milioni 5, bado nina wateja ambao ni wa mara kwa mara na wana akaunti CRDB, wateja wangu wa kila siku wengi wao wana dstv, wanapikia gesi etc ...
Kwa hiyo soko la wakala wa CRDB, Taifa gas na dstv wateja kama 1000 hivi. Hii goodwill ina thamani kubwa na ni asset ambayo aidha naweza kuombea mkopo au kukaribisha ubia lakini lazima kipengele hiki nikihesabu kam thamani ya mtaji wangu apart from fedha taslimu na mali zingine zisizohamishika.
Hiki ndicho hasa ninachokuuzia.
Acha upumbavu wewe mtaji wako ni milion 5 utawezaje kuuza Hisa za milion 15. Unaelewa hata ulichoandika.


Kwa akili zako finyu ulizopewa za kuvukia Barabara sishangai kwanini mnajazana ujinga. Kama hujui hata shares contribution inavyoenda.
 
Kilaza ni wewe unayefikiria kwa makalio tatizo sio uwekezaji bali zoezi la uwekezaji lilivyoendeshwa hivi unajua kuna mtu alitaka kutoa bilioni 50 na kujenga uwanja kwa hisa hizohizo au unaishi kwa kukariri
Ngedere wewe Sasa unajua kwanini Huyo wa Bilion 50 hakupewa akapewa wa Bilion 20.

Kwa taarifa yako zoezi Hilo unalosema lilienda vibaya lilisimamiwa na kumulikwa na Serikali kwa zaidi ya 100%.


Nyie vijana mnaokaa kwa mashemeji zenu na kuishi kwa fadhila ya dada yako atanuliwe mapaja huwa mna tabu sana. Ukute hata mfukoni hujawahi kuweka 50,000 ila kutwa kumzodoa Mo Dewji.


Kapuku mmoja wewe.
 
MO hapati faida kwa kuwekeza Simba ingekua hivyo kungekua na wawekezaji wengi sana ambao wangetaka kupata Hiyo faida.
Kwamba anapata faida kwa kujitangaza kwa 20B???
Siku akijitoa ndipo tutajua alikua anaumia Sana na kumpata mwekezaji mwingine sio rahisi.
MO yuko Simba kwa sababu anaipenda Club ya Simba ila kwa faida sidhani.
 
Hayo makubaliano ya simba na moo kuhusu uwekezaji mimi naona yamekaaa kiujanja ujanja..
Kwenye uwekezaji mkiamua kuweka mizigo.
Inatakiwa wewe utoe na mwenzako atoe.
Lakini ebu jiulize simba ameweka bei kwenye huo uwekezaji?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Bwah! Bwah! Bwah! Bwah! Kwahiyo upande mmoja unaona Mo anapata hasara pale Simba lakini upande mwingine unaamini makubaliano ya Mo na Simba yamekaa kiujanja ujanja sio?!

Hivi kwa uelewa wako unaamini mwenye kuleta ujanja ujanja kwa mwenzake ni nani?! Hivi unaamini akina Hassani Dalali wanaweza kumletea janja janja Mo na sio Mo kuwafanyia janja janja akina Hassan Dalali?!

Sasa ukisikia janja janja ya hayo makubaliano ndo hiyo anayoi-practice Mo! Mwenyekiti yeye, Mhasibu yeye, Auditor yeye, lakini mwisho wa siku anatandikwa na Mtibwa kule Unguja, anaanza kulia lia kwamba anatumia 4Billion kwa mwaka!!! Mara ghafla, oh 3Billion!!!

FYI, nimemwambia baba asipite kabisa mitaa ya Msimbazi asije akadakwa na watu wa Mo halafu watangaze wamemsajiri super striker kutoka SA kwa Sh. 500M... Mo haaminiki!!!
 
Huyo Rage aliifikisha wapi Simba kimapato si amewahi kuwa Kiongozi simba.

Huyo kigwangala ameifikisha wapi simba.


Hivi unajua kabla ya MO kuwa muwekezaji Simba ilikuwa hovyo kimapato Kama Mbao FC ndio sababu ya Kile kikosi Cha wakina Ajibu , Ndemla kupandishwa kuja kucheza timu ya wakubwa na timu ilikuwa haina hela kununua hata wachesaji. Ndio msimu ambao Azam ilitoa hata wachesaji wao kuja Simba kwa mkopo kuokoa jahazi (Kimwaga alipelekwa Simba kwa mkopo). Hali ilikuwa mbaya msimbazi. Hao wakina Rage na wewe kilaza hatukuwahi kuwaona mkipeleka hata mabakuli ya chakula kuwapa wachezaji.

Mtu aliefuatwa kupigiwa magoti alikuwa MO dewiji ndio alikuja kuokoa jahazi na akaanza kulipa mishahara na usajili wake wa kwanza kufanya akamleta MAVUGO. Nyie mnapiga kelele mitandaoni ndio mnachoweza ila hata laki 1 mifukoni hamna.

Hata marehemu mzee Yahaya Akilimali alikuwa anaweza kuchapa Domo lake na kumuita Yousuph Manji ni mwizi pale yanga ila baaada ya manji kujitoa hakuwaji kutoa hata 50,000 kulipia mishahara wachezaji. Yanga ilifikia hatua inachangiwa hela na mashabiki tena kwa kutembeza bakuli uwanjani. Ilifikia hatua Mwinyi zahera anatoa hela Yake bank analipa wachezaji mishahara ( Uliza watu upewe taarifa ).


Hizi taarifa eti Simba au yanga kuwa na thamani hizo mnazozitaja kila siku na kuona MO na GSM wananufaika Ni Nyie mashabiki uchwara ndio mna hizo fikra.
Hawa mbuzi hawana tofauti na wale wanaomdiss mzee Yusuph kuwa karudia usanii wa taarabu kwamba ni ukafiri...ila wakiambiwa wamchangie alipe madeni yanayomsibu wanatoka mbio mbaya kabisa...Eti "kwani wakati anakopa alitushirikisha!?" wabongo wanafiki sana yani 😂😂😂😂
 
Ujanja ujanja upo kwenye makubaliano yao ya uwekezaji.
Moo ana hisa 49% na simba ana hisa 51 %.
Ilitakiwa kama wanataka kufanya uwekezaji wa bilioni 20.
Simba atoe kiasi chake na moo atoe kiasi chake.
wawekeze kwa miaka kadhaa wa kipata faida wagawane.
Ila sio kubaki moo alisema ataweka bilioni 20 kwenye account ya simba.
HYO NI NDOTO.
HATA MIMI NA WEWE HATUWEZI KUFANYA HIVYO..
SIMBA HAINA THAMANI YA BILIONI 20.
Tusidanganyane.
Kama wachezaji wanalipwa na wanasajiliwa na timu inakwenda vizuri HICHO NDO CHA MAANA
Bwah! Bwah! Bwah! Bwah! Kwahiyo upande mmoja unaona Mo anapata hasara pale Simba lakini upande mwingine unaamini makubaliano ya Mo na Simba yamekaa kiujanja ujanja sio?!

Hivi kwa uelewa wako unaamini mwenye kuleta ujanja ujanja kwa mwenzake ni nani?! Hivi unaamini akina Hassani Dalali wanaweza kumletea janja janja Mo na sio Mo kuwafanyia janja janja akina Hassan Dalali?!

Sasa ukisikia janja janja ya hayo makubaliano ndo hiyo anayoi-practice Mo! Mwenyekiti yeye, Mhasibu yeye, Auditor yeye, lakini mwisho wa siku anatandikwa na Mtibwa kule Unguja, anaanza kulia lia kwamba anatumia 4Billion kwa mwaka!!! Mara ghafla, oh 3Billion!!!

FYI, nimemwambia baba asipite kabisa mitaa ya Msimbazi asije akadakwa na watu wa Mo halafu watangaze wamemsajiri super striker kutoka SA kwa Sh. 500M... Mo haaminiki!!!

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Bwah! Bwah! Bwah! Bwah! Kwahiyo upande mmoja unaona Mo anapata hasara pale Simba lakini upande mwingine unaamini makubaliano ya Mo na Simba yamekaa kiujanja ujanja sio?!

Hivi kwa uelewa wako unaamini mwenye kuleta ujanja ujanja kwa mwenzake ni nani?! Hivi unaamini akina Hassani Dalali wanaweza kumletea janja janja Mo na sio Mo kuwafanyia janja janja akina Hassan Dalali?!

Sasa ukisikia janja janja ya hayo makubaliano ndo hiyo anayoi-practice Mo! Mwenyekiti yeye, Mhasibu yeye, Auditor yeye, lakini mwisho wa siku anatandikwa na Mtibwa kule Unguja, anaanza kulia lia kwamba anatumia 4Billion kwa mwaka!!! Mara ghafla, oh 3Billion!!!

FYI, nimemwambia baba asipite kabisa mitaa ya Msimbazi asije akadakwa na watu wa Mo halafu watangaze wamemsajiri super striker kutoka SA kwa Sh. 500M... Mo haaminiki!!!
Wasted sperm
 
Mimi kama shabiki wa soka ninachotaka ni timu isajili wachezaji wazuri na walipwe stahiki zao vizuri ili timu ifike mbali kuchukua mataji makubwa.
Simba kama timu kabla ya Mo walikua wanapata mapato lakini akuna cha maana walichofanya.
Kama kuna faida kubwa Mo anapata kutokana na Simba,basi acha apate lakini mustakabali wa timu unaenda kwa mtiririko mzuri hata kwa macho tu mtu unaweza kuona.
mapato ya Simba ya siku za nyuma kabla ya Mo yalikua yanaliwa na watu wachache na timu haina maendeleo yoyote yale.
Sasa kama mapato ya Simba kwa sasa anakula Mo na kila jambo la timu linakwenda sawia basi acha Mo ale,tena ale sana tu.
 
Ulichoandika wewe hapo inamaanisha kuwa mo ana shea 100% na wananchi (wapenzi na mashabiki wa Simba) wana Shea 0% hivyo hawapaswi kujua chochote kuhusu timu yao. Na ndio maana wewe pamoja na miongoni mwa mashabiki (ukitoa viongozi wa Simba) hamjui chochote kuhusu mapato ya timu.

Haya tuambie wewe na Mashabiki wenzako wa Yanga Je munashirikishwa kwenye suala la Mapato na Matumizi? 😂
Mana Ndala kwa kuongea Wasioyafanya wao hawazidiwi!
 
Kwahiyo Moo hakuna anachotegemea kupata kwa Simba?

1) Kuna muwekezaji gani anayefanya uwekezaji halafu mwisho wa siku asitegemee kupata mafanikio ya uwekezaji wake?

2) Pesa iliyoingiza timu ya Simba kwa kufika hatua ya robo fainali CAF msimu wa 2018/2019 zipo kwenye account ipi? Na je zimetumika kiasi gani, kwa kufanyia kitu gani? Na je ibakia kiasi gani?

3) Je hesabu ya mapato na matumizi ya timu ya Simba ni nani anayehusika kusimamia?

Punguza Ujuaji haya maswali ni ya Muhasibu sio ya Mshabiki.
Hakuna Kampuni wala Taasisi inayoendeshwa hivi ulivyouliza wewe.
 
Back
Top Bottom