Mo Dewji aweka wazi sababu za CEO Senzo kukimbia

Mo Dewji aweka wazi sababu za CEO Senzo kukimbia

Kwahiyo mo ni mjinga? Hakufanya mchanganuo wa kujua kama kuwekeza Simba kumtalipa au lah, na kutamlipa vipi na baada ya muda gani? Kama anapata hasara, je nguvu ya kuendelea kutupa ela tena Simba anaipata wapi?
Mimi sio mtaalamu kusema najua sana kama Mo anapata hasara au faida kutokana na mapato ya vyanzo vya mapato vya Simba

Ila ninachojua mimi Mo kama ni faida basi atakua anaipata kupitia matangazo ya biashara zake kwa mgongo wa Simba SC

Ukichukua mapato ya club ya simba kwa mwaka ukatoa matumizi yote ya Simba lazima itakuja hasara lkini Mo hatumii mahesabu haya kujua faida yake, anatumia mahesabu hayo kuonyesha umma anajitolea
Biashara zake kutangazwa na simba nadhani huko ndiko anajua anapataje faida kiasi kwamba hata Simba wanachama hawajui sana sana wanaishia kumuonea huruma kwa hesabu za mapato toa matumizi

Mimi ni Simba damu lakini sijawahi kuamini ati Mo anajitolea tu kwa hasara kuisaidia Simba
Ninachojua mimi ni angalau ameifanya club yetu tunatembea kifua mbele na mambo yanakwenda vizuri kuliko utopolo fc
 

Amesema sababu za kijinga kweli, wewe unawezaje kufukuza mtu kwa kigezo cha kushindwa kuongeza mapato wakati focus ilikuwa kutengeneza management vizuri na kusimamia mabadiliko alafu hata hayo mabadiliko process bado haijaisha unaaza kumvalue CEO! Hivi Setho amekuja kuongeza mapato au kutengeneza mfumo wa uwendeshaji wa club, Kazi za kuongeza mapato ni kazi za wakurugenzi wa Masoko na Finance sio CEO. Hapo Mo umechemka

Alafu nilipo kuja kumuona chenga kabisa aliposema CEO anae kuja atakuwa mtanzania ambae ana mapenzi na Club, Hivi kuna mtanzania anaweza kuwa na knowledge kubwa kuhusu football management kama Setho au zaidi??? Kwei yupo??? Au ndio kutuletea wakina Manara
 
Nimesema hapo.
Kama tunaona moo anafaidika ebu tumfukuze tujiendeshe wenyewe..
GSM alitaka kujitoa uliona yanga walivyokuwa wanawapigia magoti?
Eneo walipewa naa kikwete,nyasi bandia zilipozuiliwa bandarini samata ndio alizilipia,halafu hiyo b 20 yeye kama mwekezaji anaemiliki 49% alishakubaliana na wanachama wanaomiliki 51% kama ndio itakua pesa ya uwekezaji,halafu unaongea kama vile mo anufaiki cct na smba while si kweli

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Na hicho ndo nilichowaambia.
Hao wawekezaji wanapata faida kwa kutangaza biashara zao.
Ila sio kutokana na mapato ya hizo clubs
Kama hizo club zingekuwa kuna HELA wasingekuwa wanawalilia hao wawekezaji.
Si zingejiendesha zenyewe?.
Mimi sio mtaalamu kusema najua sana kama Mo anapata hasara au faida kutokana na mapato ya vyanzo vya mapato vya Simba

Ila ninachojua mimi Mo kama ni faida basi atakua anaipata kupitia matangazo ya biashara zake kwa mgongo wa Simba SC

Ukichukua mapato ya club ya simba kwa mwaka ukatoa matumizi yote ya Simba lazima itakuja hasara lkini Mo hatumii mahesabu haya kujua faida yake, anatumia mahesabu hayo kuonyesha umma anajitolea
Biashara zake kutangazwa na simba nadhani huko ndiko anajua anapataje faida kiasi kwamba hata Simba wanachama hawajui sana sana wanaishia kumuonea huruma kwa hesabu za mapato toa matumizi

Mimi ni Simba damu lakini sijawahi kuamini ati Mo anajitolea tu kwa hasara kuisaidia Simba
Ninachojua mimi ni angalau ameifanya club yetu tunatembea kifua mbele na mambo yanakwenda vizuri kuliko utopolo fc

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Amesema sababu za kijinga kweli, wewe unawezaje kufukuza mtu kwa kigezo cha kushindwa kuongeza mapato wakati focus ilikuwa kutengeneza management vizuri na kusimamia mabadiliko alafu hata hayo mabadiliko process bado haijaisha unaaza kumvalue CEO! Hivi Setho amekuja kuongeza mapato au kutengeneza mfumo wa uwendeshaji wa club, Kazi za kuongeza mapato ni kazi za wakurugenzi wa Masoko na Finance sio CEO. Hapo Mo umechemka

Alafu nilipo kuja kumuona chenga kabisa aliposema CEO anae kuja atakuwa mtanzania ambae ana mapenzi na Club, Hivi kuna mtanzania anaweza kuwa na knowledge kubwa kuhusu football management kama Setho au zaidi??? Kwei yupo??? Au ndio kutuletea wakina Manara
Mbona kama umepaniki hivi
Kwani kazi ya CEO ni nini?

CEO ndio msimamizi wa kila kitu...... ndio boss

Amepewa malengo hajatimiza wewe unatatizika na lipi? Unaujua mkataba wake ulikua unasemaje?

Unajua malengo ya club kuliko wahusika wenyewe?
Hayo uliotaja ni yakwako na sio ya club

Mwisho sitaki kuamini kama unaamini kati ya watanzania wote hakuna anayeweza kuwa kama setho
 
Amesema sababu za kijinga kweli, wewe unawezaje kufukuza mtu kwa kigezo cha kushindwa kuongeza mapato wakati focus ilikuwa kutengeneza management vizuri na kusimamia mabadiliko alafu hata hayo mabadiliko process bado haijaisha unaaza kumvalue CEO! Hivi Setho amekuja kuongeza mapato au kutengeneza mfumo wa uwendeshaji wa club, Kazi za kuongeza mapato ni kazi za wakurugenzi wa Masoko na Finance sio CEO. Hapo Mo umechemka

Alafu nilipo kuja kumuona chenga kabisa aliposema CEO anae kuja atakuwa mtanzania ambae ana mapenzi na Club, Hivi kuna mtanzania anaweza kuwa na knowledge kubwa kuhusu football management kama Setho au zaidi??? Kwei yupo??? Au ndio kutuletea wakina Manara
wewe ndiyo mjinga. Senzo kafukuzwa? halafu suala la CEO kuwa na mapenzi na Simba naunga mkono 100%, angalia huyu msouth kakimbili Yanga na ripoti za timu.
 
Amesema sababu za kijinga kweli, wewe unawezaje kufukuza mtu kwa kigezo cha kushindwa kuongeza mapato wakati focus ilikuwa kutengeneza management vizuri na kusimamia mabadiliko alafu hata hayo mabadiliko process bado haijaisha unaaza kumvalue CEO! Hivi Setho amekuja kuongeza mapato au kutengeneza mfumo wa uwendeshaji wa club, Kazi za kuongeza mapato ni kazi za wakurugenzi wa Masoko na Finance sio CEO. Hapo Mo umechemka

Alafu nilipo kuja kumuona chenga kabisa aliposema CEO anae kuja atakuwa mtanzania ambae ana mapenzi na Club, Hivi kuna mtanzania anaweza kuwa na knowledge kubwa kuhusu football management kama Setho au zaidi??? Kwei yupo??? Au ndio kutuletea wakina Manara
wewe ndiyo mjinga. Senzo kafukuzwa? halafu suala la CEO kuwa na mapenzi na Simba naunga mkono 100%, angalia huyu msouth kakimbili Yanga na ripoti za timu.
Eneo walipewa naa kikwete,nyasi bandia zilipozuiliwa bandarini samata ndio alizilipia,halafu hiyo b 20 yeye kama mwekezaji anaemiliki 49% alishakubaliana na wanachama wanaomiliki 51% kama ndio itakua pesa ya uwekezaji,halafu unaongea kama vile mo anufaiki cct na smba while si kweli
eti Samata alilipia nyasi bandio,acha kukariri uzushi wa mitandaoni jamaa
 
Mudi mjanjamjanja alikua boss Singida united akachemsha, akawa boss African lion akachemsha kwa sasa yupo umbumbuni napo atachemsha. Ni mudi uyu uyu hajabadilika ni swala la muda tu kabla ajaondoka na baadae kurudi na timu nyingine.
Unategemea Mo akae simba milele?
 
Mudi mjanjamjanja alikua boss Singida united akachemsha, akawa boss African lion akachemsha kwa sasa yupo umbumbuni napo atachemsha. Ni mudi uyu uyu hajabadilika ni swala la muda tu kabla ajaondoka na baadae kurudi na timu nyingine.
Gsm je wanao saini wachezaji chumbani
 
Haiwezekani Mo apigiwe kelele atoe 20B ili hali wanahisa wengine hawajatoa hata Tsh. 100 ya kugharamia uendeshaji wa club. Kila mtu aweke mzigo wake mezani
Wanahisa wengine kina nani? Yeye kauziwa 49% kwa 20B, HAKUNA MWINGINE ALIYEUZIWA CHOCHOTE.
 
Haiwezekani Mo apigiwe kelele atoe 20B ili hali wanahisa wengine hawajatoa hata Tsh. 100 ya kugharamia uendeshaji wa club. Kila mtu aweke mzigo wake mezani
Mo ndo mwanahisa peke inabidii aweke hela kununua hisa zetu ila siyo mbaya achaa achume kwanza maana tunapiga utopolo 4g
 
Hakuna maswali hapo.
Simba haina vyanzo Vyovyote vya Maana vya kuingiza kipato huo ndo ukweli.
Kusema kwamba hata kama moo asipokuwepo hivyo vyanzo vitaendesha club huo ni uongo.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Mkuu, nami huwa nawashangaa wanaodai kuwa hizi timu zina brand kubwa ,hivyo zinaweza kujiendesha! Hivi hao Yanga baada ya kuondoka Manji wangekuwa wanateseka hivi?
 
Tuwe wakweli hapa MO na GSM wamekuwa wakombozi wakubwa sana kwa vilabu vyetu pendwa hivi,kiufupi Simba na Yanga hazina uwezo wa kujiendesha kabisa,kabla ya MO na GSM hizi timu zilikuwa na hali mbaya kwelikweli.Binafsi naamini hawa matajiri wawili wananufaika na matangazo yao ktk jezi za Simba na Yanga tu basi,Ila ktk suala la uwekezaji wao siamini kama wanaambulia chochote,gharama na pesa wanazotoa kuendesha hivi vilabu ni kubwa sana tofauti na tunavyofikiria.
 
MO hapati faida kwa kuwekeza Simba ingekua hivyo kungekua na wawekezaji wengi sana ambao wangetaka kupata Hiyo faida.
Kwamba anapata faida kwa kujitangaza kwa 20B???
Siku akijitoa ndipo tutajua alikua anaumia Sana na kumpata mwekezaji mwingine sio rahisi.
 
Amesema sababu za kijinga kweli, wewe unawezaje kufukuza mtu kwa kigezo cha kushindwa kuongeza mapato wakati focus ilikuwa kutengeneza management vizuri na kusimamia mabadiliko alafu hata hayo mabadiliko process bado haijaisha unaaza kumvalue CEO! Hivi Setho amekuja kuongeza mapato au kutengeneza mfumo wa uwendeshaji wa club, Kazi za kuongeza mapato ni kazi za wakurugenzi wa Masoko na Finance sio CEO. Hapo Mo umechemka

Alafu nilipo kuja kumuona chenga kabisa aliposema CEO anae kuja atakuwa mtanzania ambae ana mapenzi na Club, Hivi kuna mtanzania anaweza kuwa na knowledge kubwa kuhusu football management kama Setho au zaidi??? Kwei yupo??? Au ndio kutuletea wakina Manara
Mkuu unajuaje KPI alizowekewa Senzo Maana naona unachagua KPI zako ndio ziwe za mkataba Kati ya simba na Senzo mambo ya kutengeneza management sijui unayatolea wapi wakati wewe sio sehemu ya wahusika kuna muda tujifunze kuwa wasikilizaji zaidi

Halafu naona unawaponda Watanzania wenzio kuhusu kuongoza hiyo nafasi ya CEO

Mwaka Jana simba Sports Club ikiwa chini Ya CEO wake Magori ndio uliiona Inafika robo fainal simba Sports ambayo imefungwa mechi Moja tu ya ligi

Inaonekana unawahusudu sana watu wa nje hata Kama wanafanya mambo ya ajabu ajabu

Yani upewe malengo usifikishe watu wakuchekee hiyo ofisi ya mjomba ako Kisa unatoka nje huko
 
Back
Top Bottom