Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Huo mkataba umekaa kiujanja ujanja.
Hata mimi na wewe tusingeweza kukubali kuweka hizo bilioni 20 kwenye account ya simba wakati hatujui zitarudi vipi?.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Simba na Yanga haziuzwi na haziuziki.