Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachohitajika ni mpango kazi wa muda mfupi, wa kati, na wa muda mrefu na gharama zake na wadau wenye weledi, huo mpango kazi lazima uainishe mapungufu ama changamoto zilizopita na jinsi ya kuzitatua na mfumu ulio wazi wa utendaji ili hata mwingine asipate ugumu wa kuenendaHebu tupeane eleimu kidogo transformation gani haijakamilika? sababu anateuwa mkuregenzi, ana kauli katika team ni kitu kilitakiwa kufanywa ili hiyo transformation ikamilike. Ni nini hasa kimapa malalamiko haya. tupeane elimu tu mimi nimeuliza tu kujuwa.
Huyo nae anatupa jaka moyo...kheee
[emoji23][emoji28][emoji23]nimecheka km.ma e,,,dah!
Huyu jamaa asiwatishe hivyo.Huyo nae anatupa jaka moyo...kheee
Atutokee hapa...kama kuna la msingi anaona aongee na uongozi..kama.hawezi basi aachane na Simba maana kila siku ni malalamiko tuu..ndo maana hanenepi.Majukumu yenu kama mashabiki kila msimu si mnayafahamu 1. Kushabikia na kushangilia timu 2.kuhakikisha mnambembeleza tajiri asikate tamaa sasa kwa wakati huu ambao mechi hazipo ndio mkambembeleze,
Heloo upo.?Huyu jamaa asiwatishe hivyo.
Pale Yanga alikuwepo Yusuf Manj, yeye alikuwa kila kitu kuhusu timu.
Aliondoka kaja Gharib na timu inafanya vizuri zaidi.
Mo akiondoka Simba itakuwepo na anaweza kuja mwingine timu ikifanya vizuri zaidi.
Nipo mkuu.Heloo upo.?
Ukiwa shambenga unafikiri utaangalia hilo?Kwani hujaona mwenzako kashaanzisha thread kama hii?
Anataka wale wenye hisa 51% waweke mzigo kama yeye alivyofanya kuweka bilioni 20.Hebu tupeane eleimu kidogo transformation gani haijakamilika? sababu anateuwa mkuregenzi, ana kauli katika team ni kitu kilitakiwa kufanywa ili hiyo transformation ikamilike. Ni nini hasa kimapa malalamiko haya. tupeane elimu tu mimi nimeuliza tu kujuwa.
Kuna ubaya gani zikiwa hata threads buku?Kwani hujaona mwenzako kashaanzisha thread kama hii?
Tumia lugha ya kiumeUkiwa shambenga unafikiri utaangalia hilo?
Unatuvuruga ujueeKuna ubaya gani zikiwa hata threads buku?