Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo muhuni utakuta kafanya muamala wa manufaa anatuzugaSimba ilikuwepo kabla ya Mohamed kuja duniani.
Matajiri bado wapo na watakuja Simba na kila kitu kitakuwa sawa sawaaaa.
Yaani Yanga tulichapika haswaaaaaaaaaa.yanga ilbaki kama yatima tu. Siunakumbuka bakuli la zahera nyhe madunduka mtakufa,
Wanasema AZAM inamilikiwa na mwana, baba anaitaka Simba.Anamiliki azam tayari
Hurusiwi kumiki Timu mbili kwa wakati mmoja
Akituzingua tutamuita Albert Bashite tumfunge kanga ya kiuno halafu tumtupe Gymkana.Mfadhili lialia na mwekezaji domo kaya MO, amewaonya washabiki Simba wakiendelea kumvunjia heshima kutokana tweet yake.Atawaacha wachezaji huko waliko pre season bila kulipa gharama.na kusababisha kuzuiwa mabegi yao na watarudi kwa miguu.hapendi ujinga wakati hawana mchango .ada za kadi uawanahama hazifiki hata milioni 20.wanaongea Nini?