Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Mo anataka kuingia kwenye kilimo. Kapanga kuweka dola milioni 250 kulima ekari laki moja. Kila la kheri kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mo anataka kuingia kwenye kilimo. Kapanga kuweka dola milioni 250 kulima ekari laki moja. Kila la kheri kwake.
View: https://youtu.be/GeA11V3tsuc?si=4BWbn1i7yeRB0MQo
kwangu huyu ndiye kiongozi namba 1 kupata kutokea Afrika. hakuna cha nyerere wala ushuzi wengine.Hii imemshawishi kwa vita ya Ukraine
Ni jambo jema sana, kwa ukubwa huo wafanyakazi wengi watapata ajira na chakula kitakuwa kingi
Na mchele wa virutubisho kwaheri
Thomas Sankara tunamkumbuka daimaView attachment 2943110
Huyu anayehujumu uchumi kwrnye mashamba ya mkonge?Mo anataka kuingia kwenye kilimo. Kapanga kuweka dola milioni 250 kulima ekari laki moja. Kila la kheri kwake.
View attachment 2943115
Aliwahi kusema 'He who feeds you, controls youkwangu huyu ndiye kiongozi namba 1 kupata kutokea Afrika. hakuna cha nyerere wala ushuzi wengine.
Huyu aliipenda na kuijali Nchi yake kwa hali na mali ila wazungu walimchukia sana mwana Afrika huyu.Hii imemshawishi kwa vita ya Ukraine
Ni jambo jema sana, kwa ukubwa huo wafanyakazi wengi watapata ajira na chakula kitakuwa kingi
Na mchele wa virutubisho kwaheri
Thomas Sankara tunamkumbuka daimaView attachment 2943110
Shamba lake la Soga kapanda katani tupuMo anataka kuingia kwenye kilimo. Kapanga kuweka dola milioni 250 kulima ekari laki moja. Kila la kheri kwake.
View attachment 2943115
Asijaribu kulima bangiMo anataka kuingia kwenye kilimo. Kapanga kuweka dola milioni 250 kulima ekari laki moja. Kila la kheri kwake.
View attachment 2943115
Daima atakumbukwaHuyu aliipenda na kuijali Nchi yake kwa hali na mali ila wazungu walimchukia sana mwana Afrika huyu.
lile la kule kusini ndiko kulikochimbwa bwawa la mwalimu sio 🐒Mo anataka kuingia kwenye kilimo. Kapanga kuweka dola milioni 250 kulima ekari laki moja. Kila la kheri kwake.
View attachment 2943115