bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
BangiAnataka kulima nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BangiAnataka kulima nini?
Sio kweli technology imesaidia chakula kupatikana kwa wingi wao wananunua ardhi kwa sababu ndio real investment uwalinda wakati wa mdororo wa uchumiMabilionea wanaonunua ardhi kwa kasi na kuanza intensive farming , Dangote ,Bill gates ,Bezos , Zuckerberg nk , wote wanauza hisa wanazomiliki kwenye makampuni yao na kuwekeza kwenye kujenga mahandaki na kuanzisha mashamba makubwa na ranch za wanyama ,
Kuna kitu kibaya duniani kinakuja kitaambatana na njaa kali na vifo wanakifahamu ,sisi commoners tunachukulia mambo kiwepesi ,
Wekeza kwenye ardhi ,hasa mashamba ya chakula na kufuga wanyama ,maana huko siku zinazokuja ,chakula kitakuwa zaidi ya dhahabu
Hawana technology,nia,uvumilivu.Atawalisha wengi na ni biashara nzuri
Nashangaa vijana wameyakimbia mashamba waliyopewa bure
Tusubiri tuone!Kama anarejesha pesa sio mbaya.
Food security ndio key issue kwa watu wanaokadiria kufikia billion 8 duniani. Hawajakurupuka Hao economic giant individuals kujiingiza kwenye kulima na kufuga, mark Zuckerberg ameanzisha largest farm where he feeds his dairy cattle macadamia plants and drinks his cattle beers 🍻 😀Sio kweli technology imesaidia chakula kupatikana kwa wingi wao wananunua ardhi kwa sababu ndio real investment uwalinda wakati wa mdororo wa uchumi