Mo Dewji kuanzisha shamba la ekari laki moja

Mo Dewji kuanzisha shamba la ekari laki moja

Mabilionea wanaonunua ardhi kwa kasi na kuanza intensive farming , Dangote ,Bill gates ,Bezos , Zuckerberg nk , wote wanauza hisa wanazomiliki kwenye makampuni yao na kuwekeza kwenye kujenga mahandaki na kuanzisha mashamba makubwa na ranch za wanyama ,

Kuna kitu kibaya duniani kinakuja kitaambatana na njaa kali na vifo wanakifahamu ,sisi commoners tunachukulia mambo kiwepesi ,
Wekeza kwenye ardhi ,hasa mashamba ya chakula na kufuga wanyama ,maana huko siku zinazokuja ,chakula kitakuwa zaidi ya dhahabu
 
Mabilionea wanaonunua ardhi kwa kasi na kuanza intensive farming , Dangote ,Bill gates ,Bezos , Zuckerberg nk , wote wanauza hisa wanazomiliki kwenye makampuni yao na kuwekeza kwenye kujenga mahandaki na kuanzisha mashamba makubwa na ranch za wanyama ,

Kuna kitu kibaya duniani kinakuja kitaambatana na njaa kali na vifo wanakifahamu ,sisi commoners tunachukulia mambo kiwepesi ,
Wekeza kwenye ardhi ,hasa mashamba ya chakula na kufuga wanyama ,maana huko siku zinazokuja ,chakula kitakuwa zaidi ya dhahabu
Tulipo fika kama dunia na ukiongeza na hizi inflation, huu uchumi uliojengwa kwenye paper money unaweza collapse muda wowote. Wenye real estate tu ndiyo watakuwa salama.
 
Mabilionea wanaonunua ardhi kwa kasi na kuanza intensive farming , Dangote ,Bill gates ,Bezos , Zuckerberg nk , wote wanauza hisa wanazomiliki kwenye makampuni yao na kuwekeza kwenye kujenga mahandaki na kuanzisha mashamba makubwa na ranch za wanyama ,

Kuna kitu kibaya duniani kinakuja kitaambatana na njaa kali na vifo wanakifahamu ,sisi commoners tunachukulia mambo kiwepesi ,
Wekeza kwenye ardhi ,hasa mashamba ya chakula na kufuga wanyama ,maana huko siku zinazokuja ,chakula kitakuwa zaidi ya dhahabu
Unawajua commoners wenye njaa? Labda kama wafe wote ndo utalima na kuvuna bila matatizo. Ila kama wapo na njaa zinauma na una eka kumi za mahindi zitavunwa kabla hazijakomaa.
 
Kabisa , na wanasema kwa sasa ndio mmiliki mkubwa wa ardhi pale Marekani ,tena ardhi ya kilimo na ranch za wanyama , na bado anaendelea kununua kwa kasi kama mwehu

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Atawalisha wengi na ni biashara nzuri
Nashangaa vijana wameyakimbia mashamba waliyopewa bure
 
Back
Top Bottom