Mo Dewji kumiliki hisa za klabu ya Simba baada ya kuwa muwekezaji pekee aliejitokeza

Mo Dewji kumiliki hisa za klabu ya Simba baada ya kuwa muwekezaji pekee aliejitokeza

Wewe chura kaa kimya tutanununua shida yako nn?
Wewe kuli wa Sokoni tumia kichwa kufikiri. Hiyo ni important fact inawekwa vizuri.

Maana kila kitu unaimba kama kasuku tu.
 
Utasikia "Simba Yetu FC" ...watu washachukua club hivyo..
 
Is it possible for company A to own 20% (for example) of company B's shares, whilst company B owns, say, 20% of company A's shares as well?

Edit: If So, would it be possible then for more then 50%, that is A owning B controlling stake while B also owing A controlling stake as well?

Yes, this can and does certainly happen.

When two companies each own stock in each other, it's called a cross holding.
Huo ni utaratibu wa kukwepa kodi.
 
Yaani mambo mengine maajabu,alikuwa na african lyon ikamshinda sasa afuata nn simba?kuna agenda ya siri
 
Mo atamilikishwa VP 51% wakati serikali imesema mwekezaji amiliki 49%!
Azam TV
5 hrs ·
Klabu ya Simba imemtangaza mfanyabiashara Mohammed Dewji kuwa mshindi wa zabuni ya asilimia 50 ya klabu hiyo kwa thamani ya Sh20 bilioni.

Baada ya kutangazwa, Dewji amesema kuwa ushindi wake ni ushindi wa Simba. "Sidhani kama kuna aliye na shaka juu ya ushabiki wangu juu ya Simba."

Pia ameahidi neema klabuni hapo akisema, "klabu yetu ina miaka 81 lakini hatuna hata kiwanja kimoja cha mazoezi. Tumetenga pesa kwa ajili ya kujenga viwanja viwili vya mazoezi, Mgahawa,Gym na hostel ya wachezaji.

"Tunatarajia kutenga zaidi ya bilioni moja kwa ajili ya usajili. Pia tunampango wa kufungua kutuo chetu cha TV."

 
Bilionea Mohammed Dewji, amepita katika mchakato wa uwekezaji wa klabu ya Simba na ofa yake ya Sh bilioni 20.

Dewji amejitokeza na kuwa muwekezaji pekee ambaye aliweka dau la Sh bilioni 20 kupata hisa asilimia 51.

Hata hivyo, baada ya mchakato huo makubaliano yalikuwa ni hisa 49 anazoruhusiwa kuchukua kwa kitita hicho cha Sh bilioni 20.

Mwenyekiti wa kamati ya mchakato huo zabuni, Jaji mstaafu Thomas Mihayo amesema, Mo Dewji amepita na kitachofuatia ni majadiliano mengine baada ya mkutano wa leo.

“Mohammed Dewji ndiye mshindi, maana katika kamati yetu. Hivyo yeye ndiye amekuwa mshindi wa kuwania kuwekeza katika klabu ya Simba. Baada ya mkutano huu kutakuwa na majadiliano,” alisema.


Mkutano huo wa wanachama bado unaendelea Katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Posta jijini Dar es Salaam.

Kwa hisani ya Saleh Jembe
=======

Wanachama wanazidi kumiminika. Mabadiliko makubwa kutokea

Kaimu rais wa Simba Sports Club Salum Abdallah anawahutubia wanachama waliohudhuria Mkutano Mkuu Maalum wa klabu hiyo unaoendelea hivi sasa kwenye ukumbi wa J.K Nyerere, Dar es Salaam.


Updates

Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya kumtafuta mwekezaji Jaji Mstaafu Thomas Mihayo anazungumzia mchakato mzima uliowezesha kumpata mwekezaji katika klabu ya Simba katika Mkutano Mkuu Maalum unaoendelea hivi sasa.

Simba App iko LIVE, unaweza kuangalia kwa ku-Update Simba App yako na moja kwa moja utaweza kufuatailia mkutano huu kupitia simu yako ya mkononi.
 
Mimi sikuuliza swali hilo in general mimi niliuliza particularly situation ya simba kwa sasa na kile ulichodai kuhus. Mo as a person na Mo as MeTL. Ulisema aliyechukua hisa ni MeTL au ni MO personally
Hapo ndio nilitaka kujua zaidi swala hilo kuhusu simba na siyo General.
Sawa
 
Kuna hisia sijui ni nzuri au mbaya kama ni mbaya achana nazo.

Wale walio ndani wenye kesi nahisi ndo walikua wanazuia huu mpango baada ya hili zoezi nao watatoka ndani na kukuta mwenye nyumba keshachukua nyumba yake.
 
Back
Top Bottom