Mo Dewji kumiliki hisa za klabu ya Simba baada ya kuwa muwekezaji pekee aliejitokeza

Mo Dewji kumiliki hisa za klabu ya Simba baada ya kuwa muwekezaji pekee aliejitokeza

Apewe tu hamna namna nyingine. Wajanja Wamekula sana pesa yake.

BUT mark my words. Baada ya mwaka au kabla, ataiuza kwa hela ndefu.

Wale wenye timu yao akina Makofia watabakia kupiga kelele tu.
Eti "Makofia"...nishamjua unayemwongelea!
 
Nilikuwa sijui. Japo hujanipatia reference. Japo mimi nasikia wengine watakao nunua ni wanachama. Sijajua kama company linaweza kuwa mwanachama wa club. Nahitaji maelezo zaidi.
 
Nilikuwa sijui. Japo hujanipatia reference. Japo mimi nasikia wengine watakao nunua ni wanachama. Sijajua kama company linaweza kuwa mwanachama wa club. Nahitaji maelezo zaidi.
Limited company ni legal entity.ni person.anaweza kununua hisa..kuuza..na hata kuhamisha shares.
 
Nilikuwa sijui. Japo hujanipatia reference. Japo mimi nasikia wengine watakao nunua ni wanachama. Sijajua kama company linaweza kuwa mwanachama wa club. Nahitaji maelezo zaidi.

Is it possible for company A to own 20% (for example) of company B's shares, whilst company B owns, say, 20% of company A's shares as well?

Edit: If So, would it be possible then for more then 50%, that is A owning B controlling stake while B also owing A controlling stake as well?

Yes, this can and does certainly happen.

When two companies each own stock in each other, it's called a cross holding.
 
Limited company ni legal entity.ni person.anaweza kununua hisa..kuuza..na hata kuhamisha shares.
Hapa nadhani kunadhana moja bado hujaielewa. Zile 50% anapewa muwekezaji lakini zile zingine ni kwaajili ya wanachama. Tayari 50% za muwekezaji MO kachukua zinazobaki ni wanachama. Swali langu lilikuwa ni Je, company inaweza kuwa na card ya club? Naomba ufafanuzi tu hapo mimi siyo mtaalam.
 
Nilikuwa sijui. Japo hujanipatia reference. Japo mimi nasikia wengine watakao nunua ni wanachama. Sijajua kama company linaweza kuwa mwanachama wa club. Nahitaji maelezo zaidi.
Mambo ya uanachama ndiyo unakufa hivyo. Sasa wanunue hisa wawe wamiliki kwa njia hiyo. Watabaki kuwa mashabiki tu. Mo atapanga safu yake ya kuongoza kampuni. Hakuna tena mikutano ya kumng'oa mtu. Ukubwa wa hisa ndiyo kura yenyewe
 
Is it possible for company A to own 20% (for example) of company B's shares, whilst company B owns, say, 20% of company A's shares as well?

Edit: If So, would it be possible then for more then 50%, that is A owning B controlling stake while B also owing A controlling stake as well?

Yes, this can and does certainly happen.

When two companies each own stock in each other, it's called a cross holding.
Hapa sijakuelewa vizuri. Japo mimi nilikuwa nimeuliza kama company inaweza kuwa mwanachama wa team. Kama inawezekana basi VODACOM anaweza kuwa mwanachama wa simba na kununua hisa kama mwanachama.
 
Mambo ya uanachama ndiyo unakufa hivyo. Sasa wanunue hisa wawe wamiliki kwa njia hiyo. Watabaki kuwa mashabiki tu. Mo atapanga safu yake ya kuongoza kampuni. Hakuna tena mikutano ya kumng'oa mtu. Ukubwa wa hisa ndiyo kura yenyewe
Nadhani mimi hapa sijaongelea swala hilo. Ungefuatilia kidogo uelewe tunaongelea nini.
Kuna mdau Alisema kama Mo kachukua hisa kama yeye au kachukua hisa kama company?
Na kama kachukua kama yeye company inaweza kuchukua hisa ndani ya simba na kukuta Hisa zote ni zake. Swali langu likiuwa je, company inaweza kuwa mwanachama wa club?
 
Hapa nadhani kunadhana moja bado hujaielewa. Zile 50% anapewa muwekezaji lakini zile zingine ni kwaajili ya wanachama. Tayari 50% za muwekezaji MO kachukua zinazobaki ni wanachama. Swali langu lilikuwa ni Je, company inaweza kuwa na card ya club? Naomba ufafanuzi tu hapo mimi siyo mtaalam.
Mimi sipo huko kwenye hisa za simba.mimi nilikuwa najibu swali lako kwamba kampuni inaweza kumiliki hisa?
 
Mimi sipo huko kwenye hisa za simba.mimi nilikuwa najibu swali lako kwamba kampuni inaweza kumiliki hisa?
Mimi sikuuliza swali hilo in general mimi niliuliza particularly situation ya simba kwa sasa na kile ulichodai kuhus. Mo as a person na Mo as MeTL. Ulisema aliyechukua hisa ni MeTL au ni MO personally
Hapo ndio nilitaka kujua zaidi swala hilo kuhusu simba na siyo General.
 
Yanga muuzieni Rostam hisa asilimia 76 hizo nyingine ziwe za wanachama....
 
Back
Top Bottom