mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,477
- 1,725
Kwani kalazimishwa? Kama anakula asara ahache timuNdugu mwanamichezo, una maoni gani kuhusu kauli ya Mo Dewji aliyoitoa leo alipotembelea kikosi cha Simba, Bunju Complex
View attachment 2114010
Hata mim namuelewa sana MoUkweli mchungu. Kwa hili niko pamoja na boss MO.. nipo tayari kupigwa mawe
Mkuu, huu ndio ukweli! Nawashangaa wanaodai MO anapata faida kubwa kwa matangazo.Huo Ni ukweli Kuwekeza Kwenye Timu yoyote Tanzania Ni Hasara. Kwa Mfanya Biashara Ambaye Yuko Serious Ataelewa Hili.
Kwasababu Timu Za Tanzania Matumizi ni Makubwa kuliko Faida. Tuwe Realistic Tuuu na Tuache Ushabiki Kwasababu Mo Kaongea. Ukweli Kuwekeza Ni Hasara. Wewe Unawekeza Timu ya Tanzania, Haina Mashindano yoyote inayo shiriki zaidi Ya Ligi kuu Tanzania. Washabiki Wanao Enda Uwanjani Ndio Hao. Ligi inaangaliwa na Watanzania Tuu. Nani Utamtangazia Biashara zako. So ni Hasara 100% wanao wekeza wanafanya Kwa Mapenzi yao Tuu. Hivi uwekeze Billioni 100 Simba Au Yanga Itarudi Lini na Kwa njia Gani? Ndio maana Mdhamini wa Ligi anawekeza 2.5 Billioni hela Ambayo ni Mshahara wa Mchezaji wa Al -Ahaly. Hata hawa NBC hawana Muda Mrefu watajiondoa
Hebu tafakari...Huo Ni ukweli Kuwekeza Kwenye Timu yoyote Tanzania Ni Hasara. Kwa Mfanya Biashara Ambaye Yuko Serious Ataelewa Hili.
Kwasababu Timu Za Tanzania Matumizi ni Makubwa kuliko Faida. Tuwe Realistic Tuuu na Tuache Ushabiki Kwasababu Mo Kaongea. Ukweli Kuwekeza Ni Hasara. Wewe Unawekeza Timu ya Tanzania, Haina Mashindano yoyote inayo shiriki zaidi Ya Ligi kuu Tanzania. Washabiki Wanao Enda Uwanjani Ndio Hao. Ligi inaangaliwa na Watanzania Tuu. Nani Utamtangazia Biashara zako. So ni Hasara 100% wanao wekeza wanafanya Kwa Mapenzi yao Tuu. Hivi uwekeze Billioni 100 Simba Au Yanga Itarudi Lini na Kwa njia Gani? Ndio maana Mdhamini wa Ligi anawekeza 2.5 Billioni hela Ambayo ni Mshahara wa Mchezaji wa Al -Ahaly. Hata hawa NBC hawana Muda Mrefu watajiondoa
Hujajibu swali la jamaa hapo juu halafu liko wazi kabsa ila naona unalikwepa kwa maksudi. Jamaa kauliza hivi leo hii akitokea mtu anataka kuweka 40B, Mo atakubali kuiachia kwakua anasema anapata hasara kuindesha Simba SC?!Huo Ni ukweli Kuwekeza Kwenye Timu yoyote Tanzania Ni Hasara. Kwa Mfanya Biashara Ambaye Yuko Serious Ataelewa Hili.
Kwasababu Timu Za Tanzania Matumizi ni Makubwa kuliko Faida. Tuwe Realistic Tuuu na Tuache Ushabiki Kwasababu Mo Kaongea. Ukweli Kuwekeza Ni Hasara. Wewe Unawekeza Timu ya Tanzania, Haina Mashindano yoyote inayo shiriki zaidi Ya Ligi kuu Tanzania. Washabiki Wanao Enda Uwanjani Ndio Hao. Ligi inaangaliwa na Watanzania Tuu. Nani Utamtangazia Biashara zako. So ni Hasara 100% wanao wekeza wanafanya Kwa Mapenzi yao Tuu. Hivi uwekeze Billioni 100 Simba Au Yanga Itarudi Lini na Kwa njia Gani? Ndio maana Mdhamini wa Ligi anawekeza 2.5 Billioni hela Ambayo ni Mshahara wa Mchezaji wa Al -Ahaly. Hata hawa NBC hawana Muda Mrefu watajiondoa
Nakuhakikishia nini bilioni 40 hata wa bilioni 10 hawezi jitokezaHata kama ni kweli hamna mfanyabiashara atasema anapata faida kwenye sehemu yenye faida ili wengine wasiwe interested.
Leo akitokea mwingine akisema anataka awekeze bil 40 Simba je Mo ataachia kwa ajili anapata hasara?
Ana mapenzi na timuAjitoe tu, anawekezaje sehemu anayopata hasara!.
Umeshasahau maneno ya injinia eehYaani pesa ya Mwamedi full masimango...
Mwamedi wanafanana sana na Manji lakini yupo tofauti sana na GSM ambae anaona thamani anayoipata kupitia kupitia Yanga!!
Mkuu mbona unamkejeli doni wetu'Hapo awali dimewekeza bilion 25 za awali na bia dimewekeza bilion 20,"lakini bado bia tawekeza zaidi bamoja na kwamba sibati faida'
Isipokuwa risiti za malipo ya kununua magoli ya offside, penalti na red cards kwa timu pinzani ndio anashindwa kutunza.Mpaka sasa amewekeza bilion 85 hahahaha ponjoro bana ipo siku atadai pesa zake au timu yake huyu maana kila anachotoa anakihesabu na risiti anazitunza
Kamwe hutomsikia Ghalib(GSM) analalamika kuhusu udhamini wake Yanga au ongea ongea pumba kama za huyu MudiIngekua GSM wamelalamika hivyo uzi ungekua page ya 400 saiv
Hakuna mfanyabiashara yeyote mwenye akili anyewekeza mahala anapopata hasara!!! Mo anawafanya mashabiki wa Simba hamnazo; mtakuja kukumbuka maneno ya Kingwangalla!
Umeshawahi ona PAYE yao??Hata mim namuelewa sana Mo
Simba na Yanga mishahara ya wachezaji tu inazidi gate collection