Mo Dewji: Kuwekeza Simba ni hasara, nimeshatoa Bilioni 45

Mo Dewji: Kuwekeza Simba ni hasara, nimeshatoa Bilioni 45

Watanzania Ambao Maisha Magumu? Wataingia Uwanjani mashabiki elfu 60 lakini wanao Lipia Kadi Utaona ni 100 wenye Uwezo.

Mpira unalipa lakini kwa Tanzania Bado
Watanzania wengi tu wanaweza kufanya hivyo. Kwani wanywa bia ni akina nani?
Unahitaji motivation kujua timu yenye bajeti ya 25bn a year itakuletea raha gani.
Ukiwa na timu kubwa, automatically utaona timu kubwa zikija bongo. Bia Moja au mbili Kwa mwezi kuweka kwenye timu mbona inawezekana? Ni akili za kinyonge ndiyo zinatusumbua.
 
Ingekuwa Tanzania Matangazo yanalipa Sahizi Clouds Isingekuwa Pale Ilipo. TBC Isingekuwa Vile Wala ITV.

ITV ndio Kituo cha Television Ambacho, Kianaongoza kwa Kufuatiliwa katila Habari ya Saa Mbili Usiku. Lakini Nani Kaweka Matangazo pale wakati wa Habari ya Kueleweka? Tanzania Hatujafikia Kwenye Advertisment kwasababu Ya Hali ya Uchumi.
Matangazo kwenye biashara ni lazima yawe wastani wa 30% ya operational costs.
Hata kama brand yako inajulikana. Kwanza especially kama brand yako inajulikana.
Pepsi haijulikani duniani? Coke? Je wanatumia resources kiasi gani kutangaza?
Kuna kitu kama Intel Pentium Processors, nao wana adverts kibao kwenye TV why?
Lengo ni kuizoesha brain ya Kila mtu kujua hiyo ndiyo bidhaa Bora na nafuu day in day out.
Ukizubaa tu, competition inakuwa.
He needs advertisement big time. Advertisement is a big part of commerce. Ni lazima in one way or another atangaze. Siyo Masada, it pays big time. Soccer hasa Simba kwake ni platform kubwa.
 
Mkuu niumie kwa vipi. mimi ni mchumi na mhasibu,nauelewa mkubwa sana kuhusu biashara. Mwekezaji kaeleza changamoto za biashara na kwamba haijaanza kulipa. Lakini ameonyesha nia ya kuendelea kuwekeza angalau kufikia break even point. Kwa nini iwe tatizo
Mkuu BEP hiyo ataipataje kwenye UWEKEZAJI?? Katika kesi hii anasubiri PBP (PAYBACK PERIOD) na sio BEP. In fact BEP ni ile hali ambayo REVENUE = COST.
Katika kesi hii hawezi endelea kuwekeza kwa kuangalia BEP, anapaswa kuangalia how long does it take just to recover his initial investment, kumbuka kuwa BEP huwa katika specific time. Mo should base on PBP na kama ataangalia BEP hatoboi milele.

Uwekezaji wa mpira unahitaji akili kubwa sana, zaidi hautegemei only gate collection, inapaswa aingie mikataba ya maana na Kampuni kubwa za michezo kama NIKE, ADIDAS, nk. Anachokosea MO ni kwamba amewekeza afu anataka YEYE ndio awe anaweka matangazo kupitia kampuni zake, so kama anapata hasara inapiga kote.
 
Hapa billion watu wanaizungumzia kama buku. 20B ukiwa unakuka kila siku 1,000,000 utakula miaka 56.
Sijui kwann mashabiki wa simba Hesabu inawapiga chenga, sielewi kwa nn hata
 
Sijui kwann mashabiki wa simba Hesabu inawapiga chenga, sielewi kwa nn hata
20B mzee ni pesa ndefu sana asikwambie mtu. Hapa kuna halmashauri zimepewa 400m kila moja kujenga vituo vya afya. 20B unajenga , unasambaza halmashauri 50.
 
Acha tu nikuache kwasababu hujijui kama hujui na yaliyomo ndani ya Simba pia hujui.
hata nikikujuza hapa ntawapa faida Utopolo mahasimu wa Simba wapate pa kuanza zengwe kwa Simba yangu.

Basi yameisha mkuu.
Hajui kitu huyo wala usimwambie kama tulikuwa tunanunua mechi zetu na baadhi zinazoihusu Uto. Yeye anadhani hela ya Moo ndio inaleta ushindi automatically. KALAGABAHO
 
Back
Top Bottom