Mo Dewji, msimu ujao tenga milioni 500 za ubingwa, baada ya hapo Yanga na GSM hawatakusumbua tena

Mo Dewji, msimu ujao tenga milioni 500 za ubingwa, baada ya hapo Yanga na GSM hawatakusumbua tena

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika. Kwa mahesabu ya haraka, GSM itabidi atumie zaidi ya bilioni 2 ili kupambana na milioni 500 yako. Wakifanikiwa kushinda hizo mechi zote utakazoweka dau, wewe utakuwa haujatumia hata sumni ila wao watakuwa wametoboka bil 2 + pesa za mikataba na hizo timu. Hapa lazima watajitathmini upya kama njia waliyochukua ina thamani.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu iliyoonyesha msimu huu, kama inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
 
Moderators mnaruhusu hizi za kipumbavu
GSM ni mfanyabiashara na mwekezaji
Ni mlipa Kodi mkuu wa serikali
Leo member anasema eti hii kampuni ya GSM ni wahuni
Mkipelekwa mahakamani na haya maandiko yA kuichafua GSM Kwa kuwaita wahuni msilalamike
 
Ata viongozi wa Simba wanakuona ni mbumbumbu katika hoja yako.

GSM ali ingia mkataba na Tff kuwa mdhamini mwenza na NBC kwa Bilon moja kama afanyavyo NBC.
Timu zilinufaika pia kwa kupata vifaa vy michezo.

Simba ndio ilikua kinara wa kupinga GSM ku dhamini ligi na waka gomea kucheza pale kwa mkapa kama yanaendelea kuwepo matangazo ya GSM.

Baada ya mgomo uo Tff ikawaomba radhi GSM kwa yaliyo tokea na GSM wakajiondoa kwenye udhamini uku wakiwa wamesha gawa sehemu ya vifaa vya michezo kwa timu zinazo shiriki ligi ua NBC.

Baadhi ya Timu zikaenda kuomba udhamini ili kuweza kuimarisha bajeti zao za msimu.

Chakushangaza baadhi ya mashabiki wa Mbumbumbu fc mmeanza kulia kuhusu udhamini wa GSM wakati nyinyi Simba mli ugomea!!

Tengenezeni timu ya ushindani la si hivyo mtaendelea kulalamika mpaka 2030.
Izo kelelezenu ata ao Tff wana waona ma Mbumbumbu tu.
 
Ata viongozi wa Simba wanakuona ni mbumbumbu katika hoja yako.

GSM ali ingia mkataba na Tff kuwa mdhamini mwenza na NBC kwa Bilon moja kama afanyavyo NBC.
Timu zilinufaika pia kwa kupata vifaa vy michezo.
Simba ndio ilikua kinara wa kupinga GSM ku dhamini ligi na waka gomea kucheza pale kwa mkapa kama yanaendelea kuwepo matangazo ya GSM.
Baada ya mgomo uo Tff ikawaomba radhi GSM kwa yaliyo tokea na GSM wakajiondoa kwenye udhamini uku wakiwa wamesha gawa sehemu ya vifaa vya michezo kwa timu zinazo shiriki ligi ua NBC.

Baadhi ya Timu zikaenda kuomba udhamini ili kuweza kuimarisha bajeti zao za msimu .
Chakushangaza baadhi ya mashabiki wa Mbumbumbu fc mmeanza kulia kuhusu udhamini wa GSM wakati nyinyi Simba mli ugomea!!

Tengenezeni timu ya ushindani la si hivyo mtaendelea kulalamika mpaka 2030.
Izo kelelezenu ata ao Tff wana waona ma Mbumbumbu tu.
Hakuna shida. Hizo milioni 500 zitazisaidia pia. Ni wakati wa kuweka pesa pale mdomo wetu ulipo.
 
Utawaponza jamii forums
We unaita kampuni ya mtu wahuni
Kisa upofu wako wa ushabiki wa mpira
Wazazi nje ya haya mashabiki
Sio sawa kuwaita GSM wahuni
Hahah. We jamaa ulianza mdogo mdogo kujifunza fitna ila sasa umekubuhu. Unatisha mwanangu.

Kukurekebisha, hakuna sehemu nimemuita mtu au taasisi yoyote ni muhuni au wahuni. Acha kupotosha andiko langu.

Pia kumbuka hii ni barua kwenda kwa Mo Dewji. Ni mazungumzo yangu binafsi na yeye.
 
Hahah. We jamaa ulianza mdogo mdogo kujifunza fitna ila sasa umekubuhu. Unatisha mwanangu.

Kukurekebisha, hakuna sehemu nimemuita mtu au taasisi yoyote ni muhuni au wahuni. Acha kupotosha andiko langu.

Pia kumbuka hii ni barua kwenda kwa Mo Dewji. Ni mazungumzo yangu binafsi na yeye.
Sawa bhn
Uzi wako ni mali ya jamii forums
Wao kama wameona kweli GSM ni wahuni
Watauruhusu
 
Hakuna shida. Hizo milioni 500 zitazisaidia pia. Ni wakati wa kuweka pesa pale mdomo wetu ulipo.
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Kwanini hizo hela usiweke ww?Unadhan mo mjinga?
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Hata mcheze uchi... UCHAWI UTAWARUDIA WENYEWE HUKO HUKO UMBUMBUNI.
 
Sawa bhn
Uzi wako ni mali ya jamii forums
Wao kama wameona kweli GSM ni wahuni
Watauruhusu
Usiwape mzigo usiowahusu JF. Uzi ni mali yangu na nasimama nyuma ya hayo maneno yangu.
 
Hawa ndio mnawaita GT wa humu JF ? Kuna Uzi humu unasema jukwaa la wajinga na nyuzi za kijinga ni huku Sports Jamii...nimeamini
Huu uzi umewashtua maana mnajua una suluhisho la uhuni unaoendelea.

Sasa tunaweka pesa pale midomo yetu ilipo.
 
Moderators mnaruhusu hizi za kipumbavu
GSM ni mfanyabiashara na mwekezaji
Ni mlipa Kodi mkuu wa serikali
Leo member anasema eti hii kampuni ya GSM ni wahuni
Mkipelekwa mahakamani na haya maandiko yA kuichafua GSM Kwa kuwaita wahuni msilalamik
 
Back
Top Bottom