Mo Dewji, msimu ujao tenga milioni 500 za ubingwa, baada ya hapo Yanga na GSM hawatakusumbua tena

Mo Dewji, msimu ujao tenga milioni 500 za ubingwa, baada ya hapo Yanga na GSM hawatakusumbua tena

Ule Uzi kuwa JF Sports wamejaa wajinga umeuona?
Nimeuona ila sijaufungua na sijausoma maana nilijua ni upuuzi mtupu. Kuna watu mngepewa muiendeshe JF ingekufa baada ya siku mbili.

JF ipo mpaka leo kwa sababu ya uhuru uliopo na uliotolewa. Kama mchangiaji au uzi hauuelewi unapita tu kimya kimya. Mbona simpo tu?
 
Nimeuona ila sijaufungua na sijausoma maana nilijua ni upuuzi mtupu. Kuna watu mngepewa muiendeshe JF ingekufa baada ya siku mbili.

JF ipo mpaka leo kwa sababu ya uhuru uliopo na uliotolewa. Kama mchangiaji au uzi hauuelewi unapita tu kimya kimya. Mbona simpo tu?
Hahahaha,ujue Nini nimeamini kweli JF Sports ni wajinga wajinga wengi, hapo bado nyuzi ya kishirikina , kifupi mko wengi humu wajinga wajinga
 
Hahahaha,ujue Nini nimeamini kweli JF Sports ni wajinga wajinga wengi, hapo bado nyuzi ya kishirikina , kifupi mko wengi humu wajinga wajinga
Poa poa. Mngepewa JF muiendeshe mngetaka watu walete vyeti ndiyo muwapitishe. Picha lingeanza mngeshangaa mnaoita wajinga wajinga wanawazidi kila kitu nyie werevu kuanzia kielimu, kiuchumi, kiroho, kishirikina, kiserikali, nk.
 
Poa poa. Mngepewa JF muiendeshe mngetaka watu walete vyeti ndiyo muwapitishe. Picha lingeanza mngeshangaa mnaoita wajinga wajinga wanawazidi kila kitu nyie werevu kuanzia kielimu, kiuchumi, kiroho, kishirikina, kiserikali, nk.
Humu ktk sports we na wenzio hkn mnanizidi labda ujinga ujinga kama huu
 
Utawaponza jamii forums
We unaita kampuni ya mtu wahuni
Kisa upofu wako wa ushabiki wa mpira
Wazazi nje ya haya mashabiki
Sio sawa kuwaita GSM wahuni
Ni kweli kabisa, mtu anaanzisha uzi kuchafua brand za watu kutokana na ushabiki wa kijinga tu. Maudhui ya uzi ni kuwa GSM na Yanga wanapanga matokeo ya mechi. Shida inakuwa ni mtu aliyetoa hayo madai kifedha hajiwezi hivyo kumshtaki hawezi kulipa chochote, labda umfunge kama "civil prisoner", ambapo ni wewe unabeba jukumu la humhudumia akiwa ndani.
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu kama iliyoonyesha msimu huu inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Huoni aibu wewe binti kumwambia mwanaume atege m 500 kwani wewe huwezi kuzitenga acha kumpangia binadamu mwenzako matumizi ya pesa zake .[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu kama iliyoonyesha msimu huu inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Hivi akili hua mnaziweka kwenye tako la upande gani mkuu????

Halafu Ndio Watu Kama Wewe Mnawaza Mabadiliko...

Tumbavu...!!!!
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu kama iliyoonyesha msimu huu inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Hivi vijana wa mangungu uwa mnafikiria kwa kutumia nini? Kwa akili zako tu finyu ubora wa kikosi cha Simba unalinganisha na ubora wa kikosi cha yanga kwenye kupambania matokeo popote pale? Iwe kwa mchezaji Mmoja Mmoja Simba mna kikosi Gani cha kubattle na yanga nyie? Yanga anapata matokeo kutokana na quality yake na sio pumba ulizoziandika hapa za gsm sijui anafanyaje na kutokubali mnazidiwa pakubwa kiubora na yanga na mkawekeza kwenye propaganda za maji taka na mkashindwa kufanya usajili wa maana kuboresha kikosi mtakuwa mnatoa milio Kila siku iendayo kwa mungu,,wenzako wanasajili kina pacome wewe unaenda kuwaleta kina mutale alafu utegemee kupata ubora ule ule walionao wenzako si utahaira huo!
 
Nimeuona ila sijaufungua na sijausoma maana nilijua ni upuuzi mtupu. Kuna watu mngepewa muiendeshe JF ingekufa baada ya siku mbili.

JF ipo mpaka leo kwa sababu ya uhuru uliopo na uliotolewa. Kama mchangiaji au uzi hauuelewi unapita tu kimya kimya. Mbona simpo tu?
Hili ndilo kosa lilipotokea hata Vichaa mnaandika chochote tu hapa JF kisa Uhuru

Anyway MO amesikia.
 
Unasikitisha sana sasa unasema upinzani unawajenga halafu tena unaona kuna ubaya wewe kichwani zimo kweli?
Ligi kuu ni kitu gani wakati wewe upinzani umekufanya umechukua ubingwa wa Africa na umecheza fainali ya klabu bingwa Africa mara nne mfululizo.
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu kama iliyoonyesha msimu huu inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Kirahisi namna hii?
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu kama iliyoonyesha msimu huu inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Ubaya Ubwela
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu kama iliyoonyesha msimu huu inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Una ushauri wa kipumbavu sana. Yanga wana timu nzuri kuliko sisi kwa misimu mitatu mfululizo. Kama sisi simba tumeshindwa kumfunga yanga unategemea Pamba atamfunga Yanga?
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu kama iliyoonyesha msimu huu inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Mkuu naona umeanza kuwa kama Gentamycin.
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu kama iliyoonyesha msimu huu inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Kila mtu ashinde mechi zake. We shinda zote uone kama hutapata ubingwa.

Unafungwa na Yanga unasingizia GSM, ukiongoza ligi UBAYA UBWELA.

Singida anafungwa na YANGA, unaanza kuwapangia kikosi. Kama kikosi ni ishu kwenu kwanini nyie mliburuzwa? SHINDA MECHI ZAKO ZOTE UTAKUWA BINGWA
 
GSM anadhamini timu nane,katika timu hizo nane,kila moja inapata,vifaa vya michezo,posho,usafiri na pesa kwa kipindi chote cha msimu husika, wewe unakuja na milioni moja yako katika mechi moja,na wakiipokea inamaanisha wamekataa posho,usafiri,pesa na vifaa vya michezo vya msimu mzima jambo linaloweza kuathiri pakubwa msimu mzima,katika hali hiyo timu zitakubali kuchukua hiyo 1m kisha zinafumuliwa kisawasawa na yanga halafu hamna pa kuwapeleka,mkipiga kelele TAKUKURU wapo macho kweli kweli mtaishia korokoroni. wekezeni kwa marefarii tu na mkae mkijua ARAJIGA AHMED hahongwi. Ni hayo tu mkuu SAYVILLE
 
Back
Top Bottom