Mo Dewji, msimu ujao tenga milioni 500 za ubingwa, baada ya hapo Yanga na GSM hawatakusumbua tena

pamoja na gsm mnyama anachukua kombe zote mwaka huu NBC na shirikisho
 
Kila ukisema uache kuita watu mbumbumbu anajitokeza mmoja kukuprove wrong. Sasa kwa akili kama hizi mtashindwa kuendelea kudanganywa kuwa mafanikio ya timu ni kufungua group la Whatsapp na kuletewa Manzoki kwenye uchaguzi.
 
Moderators mnaruhusu hizi za kipumbavu
GSM ni mfanyabiashara na mwekezaji
Ni mlipa Kodi mkuu wa serikali
Leo member anasema eti hii kampuni ya GSM ni wahuni
Mkipelekwa mahakamani na haya maandiko yA kuichafua GSM Kwa kuwaita wahuni msilalamike
mbona wahuni wengi tu tunalipa kodi vizuri
 
Na ukweli unabaki vile vile uache kamdomo kakusema eti kwakuwa umefuzu kule basi Simba ni Bora acha upuuzi huo
Kwa hiyo baada ya kubadili jinsia, sasa hivi tukuite mwanamke au mwanaume au unazo zote mbili?
 
Uwa anakurupuka na viroja badala ya hoja,,nimeona Kuna Uzi unasema hapa jukwaani Kuna wajinga wengi wanaleta hoja za kipuuzi puuzi alikuwa sahihi
Ule Uzi hata Mimi nimeuona na Kwa watu Kama huyu mleta mada nikaamini kweli Kuna wajinga wajinga humu
 
Nadhani utakuwa umejifunza. Ukinijia njoo kwa adabu.
Kujifunza nini labda? Kujifunza ujinga wako wa kusema Simba ni Bora ama kujifunza habari ya GSM kudhamini timu 8 na kumshauri Mo na yeye adhamini timu? Mbona ueleweki? Yani Mimi nijifunze kwako huo utahira?
 
Kujifunza nini labda? Kujifunza ujinga wako wa kusema Simba ni Bora ama kujifunza habari ya GSM kudhamini timu 8 na kumshauri Mo na yeye adhamini timu? Mbona ueleweki? Yani Mimi nijifunze kwako huo utahira?
Nafikiri mimi na wewe tumemalizana....mwingine!
 
Moderators mnaruhusu hizi za kipumbavu
GSM ni mfanyabiashara na mwekezaji
Ni mlipa Kodi mkuu wa serikali
Leo member anasema eti hii kampuni ya GSM ni wahuni
Mkipelekwa mahakamani na haya maandiko yA kuichafua GSM Kwa kuwaita wahuni msilalamike
Tuvumilie tu mkuu Mh. Rage alishasema kwamba mashabiki wa Simba ni mbumbumbu!
 
Tunahitaji Tone Tone Kwanza Kutoka Kwenu Mashabiki Kindakindaki Wa Simba Alafu Tutaona Namna Ya Kumshauri Mwenyekiti Nae Atie Tone Lake...###Hapovipi###
 
Utawaponza jamii forums
We unaita kampuni ya mtu wahuni
Kisa upofu wako wa ushabiki wa mpira
Wazazi nje ya haya mashabiki
Sio sawa kuwaita GSM wahuni
Mhh hebu huko na wewe yani GSm ndo nani sasa...yani wasisemwe wao ni kina nani
 
Ukiona adui yako anakulalamikia ujue upo sahihi, ukiona anakusifia ujue kuna sehem unafeli! GSM endeleeni kakaza hapohapo hivi vilio ni ishara njema kwetu sisi wadau[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]upo sahihi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…